Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

nchi hii waziri mkuu kuwa rais ni marufuku kabsa..haijawahi kutokea japo kuwa kila ikitokea wanajitokeza kugombea
 
Hawa wasanii wa tot wanene kwelikweli, mpaka misambano kanenepa.
 
Naona Magufuli kuwahi kwake ukumbini kunampa air time ya kutosha.
 
Round ya kwanza tu kura za Magufuli zinafunga mkutano hamna hata haja ya kwenda round ya pili.

Magufuli mjanja kweli na anatumia mda huu kuwasalimu wajumbe...
 
Mkuu sisi tuko nao hapa tangu asubuhi wengi wao wamejaa vinyongo na hasira.Ni full kulalamika mitaani maana wamezagaa mji mzima na wala hawana siri.Anyway, labda watende kinyume na maneno yao kwa hofu ya kupoteza madaraka.
Mkuu madaraka matamu wewe, hawakubali kumwaga mboga
 
namuona membe anaingia ukumbini anasalimiana na magufuli
 
Kama kuna wakati ccm imecheza vyema basi ni wakati huu.
Japo nashindwa kuotea nani sasa atakayepewa u-pm
 
Mgombea Urais wa UKAWA atatangazwa 14/07/2015, vikao vya mashauriano vimeahirishwa salama na mambo kadhaa tayari yamefikiwa salama.

Teh Teh si ukubali mmeshindwa kuhafikiana? Teh Teh....haha mtasoma namba....CCM mbele kwa mbele...
 
Wagombea wengine yaani Amina Salim Ali na Dr Asha Rose ni kama wameamua kumuachia Magufuli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…