Ukimya wa Lowasa una madhara makubwa sana kwa ccm .
Nakumbuka kauli Pasco Lowasa ni raisi iw kwa ccm au nje ya ccm ngoja tuone ndoto zake zitatimia au ndo zitaishia njiani?
Hakuna chama kitachompokea mwizi bhana,fisadi ni mtu hatari na wa kuogopwa..
Kachoka na nini kwani? Rais mtarajiwa hapaswi kuchoka kwa kiwango hiki. Ila mmmh! Huyu mama ni mzuri. Anafanana kama yule Joyce Banda wa MalawiMmh.... Hata mi nimeona, maybe kachoka
Tehetehetehe. Leo hamlali?namuona mama spika na afro yake ..."tundu lisuuu kaa chini..."......
Hana confidence
hakyamungu kuna sura nyuma ya kikwete zimenuna sijui ni usalama taifa wale, na samuel sitta duh
so many angry and disgruntled dudes...damn
Lowasa anaangalia kwa jicho la huruma
Huyu mama sidhani kama hata alikuwa anategemea kufika hapo maana huo mtetemeko mhhhh???
Tumsamehe na tuendeee kumsikilizaHuyu mama sidhani kama hata alikuwa anategemea kufika hapo maana huo mtetemeko mhhhh???
Kachoka na nini kwani? Rais mtarajiwa hapaswi kuchoka kwa kiwango hiki. Ila mmmh! Huyu mama ni mzuri. Anafanana kama yule Joyce Banda wa Malawi