Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Hahahaaaaa Da Amina yuko nervous kinoma!

Sielewi kabisa huyu kafikaje tatu bora?

Yaani hebu jaribu kumlinganisha huyu hata tu na Dkt. Mahiga......

ukiona hivyo ujue kashatonywa atapitishwa...imemkata confidence anawazia ndege na suti za bure,presidential suites in dc,london and monaco...motorcade with presidential tint on it...chezea bata la ikulu wewe!!!
 
Kachoka na nini kwani? Rais mtarajiwa hapaswi kuchoka kwa kiwango hiki. Ila mmmh! Huyu mama ni mzuri. Anafanana kama yule Joyce Banda wa Malawi
Hahaaa kweli huyu mama ni mzuri kiukwrli uongo mbaya hachoshi kumtazama.
 
Back
Top Bottom