kwani mnatakaje yale majina matano ni
1,
2
3.
4
5
akafie mbali kabisa
Jamani na umeme nao wamekata sasa tutaangaliaje habari uuuwwwiiiiii.....
te te te te....wanadhani kuna wapinzani kumbe wako wenyew wamesahau...Tanzania raha sana
mjuaji Lowasa inasemekana kakatwa kwa kucha tu kama unakata tambiNani kakatwa huko
Can't wait
Jamani na umeme nao wamekata sasa tutaangaliaje habari uuuwwwiiiiii.....
Please wait...
Jamani na umeme nao wamekata sasa tutaangaliaje habari uuuwwwiiiiii.....
Kama unayosema ni kweli mbona out of 38 anaongelewa sana lowassa? Think out of box
Pole sana Mkuu. Tutakujuza kupitia humu jf
haa haa wapi huko?