Ed n Edd nEddy
JF-Expert Member
- May 3, 2011
- 5,345
- 6,076
mjuaji Lowasa inasemekana kakatwa kwa kucha tu kama unakata tambi
Mtoa mada yaonekana unahasira sana babu teh! teh! teh!
ccm kwishney. yaani lowasa anawapeleka puta mpaka wanasitasita kutangaza majina yaliyopo kwenye tano hora.
Nijuavyo Lowasa tayari keshajua maana ana wafuasi wake mule ndani ya CC.. kama kakatwa tayari ingejulikana... ila sababu hajakatwa wameamua kukaa kimya ili baadae iwe surprise
Lowasa imeshindikana
Jaji Augustino & Pinda wako tano bora majina yote kutangazwa baada ya nusu saa
Amekatwa. Ila tunasubiri tu taarifa rasmi
kwani haijajulikana,mbona taarifa zimezagaa.Team Lowasa wameshapoteana hawawezi kuchomoza tena.ni kama Yanga ikibutulia 5 bila na Simba unadhani Jeri Muro ataleta kidomo domoNijuavyo Lowasa tayari keshajua maana ana wafuasi wake mule ndani ya CC.. kama kakatwa tayari ingejulikana... ila sababu hajakatwa wameamua kukaa kimya ili baadae iwe surprise
Rais wa mateja
channel gan inarusha kinachoendlea Dom?
Lowassa atatambia wapambe wake tu, mbele ya Dr. Mangulla anakatwa kama katimu fulani kanavyotambia wengine lakini sio Msimbazi.mjuaji Lowasa inasemekana kakatwa kwa kucha tu kama unakata tambi
Je wadhani Lowasa hajaambiwa kilichotokea huko ndani?
Je wadhani Lowasa hajaambiwa kilichotokea huko ndani?
ACT wapokee sasa Zigo la mwizi!!
MTV Base