Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Hayo ndo majina yaliyopitishwa na ccm kuingia tano bora. Usiku mwema wajameni.
 
Mna bahati tunaenda kulala sasa....tukutane kesho...Tunzeni maneno kwani mwisho wa ubaya ni aibu....
"Beggers can't be choosers"
 
Kama ccm ingekuwa ni chama makini wasingepoteza muda wote huo kutafuta hiyo wana 5 bora.

Najiuliza hivi ccm walikuwa wapi siku zote wasiwajadili hao wanaowaita mafisadi ambao hawajachafuka sana/

Alafu leo wanakaa na kujidai wanajadili
 
Tulimpatia El uenyekiti wa ulinzi na usalama bungeni kwa lengo la kuwaandaa viongoz wake wa ulinzi kama bodyguard,mkuu wa majeshi nk.Leo mnahangaika rohoni kwa lipi?
 
fisadi lowassa litakatwa na kubakishwa mafisadi mengine matano...utakun.ya boga wewe msalani a.k.a chooni cha shimo.
Leo, wewe na washirika wako lazima mpate wazimu, LOWASSA hajakatwa, hakatwi, wala hatakatwa, huyo ndio muoarobaini wenu.
 
××××SIJAWAHI KUTABIRI NIKAKOSEA×××××

Toka mwaka 1995 sasa huu ni utabiri wangu binafsi. Utabiri ni makisirio yna kabla yanayojumlisha mambo mengi(huwa ni close to actual or equivalence). UTABIRI ni kuwa majina matano ya CC yatapita na wengi wataondolewa kwa vigezo vi3 ukiacha ushauri wa baraza la wazeee 1. Kutokuwa na ujuzi wa uongozi ndani ya chama 2. Kutokuaminika kwa waliowahi kuasi chama wakahama na kurudi tena 3. Kutokuwa na ujuzi wa Uongozi na ujuzi wa serikali ya Jamhuri. Watano ni hawa

1. Lowasa
2. Dr. Bilali
3. Pinda.
4. Membe
5. Asharose

Na kutoka NEC, kwa kuwa NEC ina wajumbe 401 basi majibu yatakuwa hivi;

1. Lowasa 211
2. Membe 78
3. Pinda 45
4. Asharose 38
5. Bilali 22

Kura 7 zitaharibika.

Mkutano mkuu yataenda majina ma3 Lowasa, Membe na Pinda na wajumbe wa mkutano mkuu wapo 2600 matokeo yatakua kama ifuatavyo;

1. Lowasa 1678
2. Membe 655
3 Pinda 240

Kura 17 zitaharibika

Lowasa atashinda kwa kishindo(zaidi ya 60%) na Mgombea mwenza atakua ni Bilali kubalance Muungano, Pia mamlaka itamtaka ampe Membe uwaziri mkuu #makubaliano kubalance team# hivyo Membe ataenda kugombea ubunge hata kama alishaaga.

Narudia: Safari ya Matumaini siipendi ila kwa Busara ya haraka hakuna Jinsi tunaipenda CCM yetu, wana CCM tupo mil 6 wapiga kura ni mil 24. #Utabiri Binafsi#

By Banyamulenge Mkwawa.

Forwaded as received

Hii ndio shida ya mtu kupost kabla ya kula futari.

Haya bwana, ebu chezesha hicho kibuyu chako tuangalie kati ya Lowasa vs Silaa kura zitakuaje?
 
Back
Top Bottom