Bilal... Membe ..... Magufuli.... Lowasa..... Migiro
El hajakatwa....kubenea...taarifa ya kupika.
Huu ndo uhakika, lowassa analazimishwa awe makamu wa rais jaji Ramadhani awe rais Lowassa kagoma
Bila makongoro sio Ccm mwaya
Hii nchi si yake wala babake,hana mamlaka ya kuamua rais atoke kanda gani!ACHA UBAGUZI!
Namuona mbowe anaingia kama msikilizaji
Bilal... Membe ..... Magufuli.... Lowasa..... Migiro
Duu ukweli ndio huu sasa haya ys riz yauongo kweli? Narudia ukweli ndio huu
Edwin van Persie asajiliwa Ferneberch ya Uturuki.
El hajakatwa....kubenea...taarifa ya kupika.
Helo..mwenye updates atujulishe basi