Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

apo kinacho ogopwa nan atamfunga paka kengere,.. ngoma imekua ngumu "ee ma mmvi wahurumie wenzako wana taabika cio vizur ivo kukaza"
 

Mkuu nakuunga mkono nasema kindle tuu waache dharau zao hapa
 
Ukiona habari ina membe top5 ujue ni fiksi... Huyo jamaa hata top 20hawezi kuwepo
 
Kama hii ni kweli huyu pany'a wa mkwere kasema basi lowassa na awe rais tu..😡😡
 

Attachments

  • 1436562112296.jpg
    30.8 KB · Views: 477
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…