ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Ungese huu huu wa kufanya kana kwamba Nchi yao ndio Mzee Kingunge alikuwa anaukemea juzi then watu wanamtukana. Huyu dogo na kikundi chake kidogo cha kijinga washaifanya hii Nchi ni mali yao peke yao kuwa wanatuamulia watakalo,kitanuka tuu muda si mrefu. Kumbe wanamfitini Lowasa kwa sababu ya Ukanda wake sio?
Walpta ni
membe,bilal, lowasa asha rose migiro na magufuli,
Inauma eeenhee!!
KUTOKA DODOMA 4U MOVEMENT
Breaking news! 5 bora iliyopitishwa na KK
Lowassa
Asha Roses
Magufuli
Dr. Bilal
Membe
Mr Hemed Ally
Mratibu Taifa (National Coordinator)
@4u movement
4U Movement | FRIENDS OF LOWASSA
INA UKWELI WOWOTE HII?
Yale yale still kuna ukakasi.1.migiro
2.magufuli
3.lowasa
4.bilali
5.membe
chanzo cha uhakika.
KUTOKA DODOMA 4U MOVEMENT
Breaking news! 5 bora iliyopitishwa na KK
Lowassa
Asha Roses
Magufuli
Dr. Bilal
Membe
Mr Hemed Ally
Mratibu Taifa (National Coordinator)
@4u movement
4U Movement | FRIENDS OF LOWASSA
INA UKWELI WOWOTE HII?
Tano bora tayari
Subirini Tatu bora tu waJF hapo 11/03/2015
Mafaili bado tunayapitia kwa umakini
Mlale sasa
Sisiem hizi siku mbili imewashika watu pabaya, watu hawali kikateremka, hawanywi yakateremka viziri masiko na macho yote ni dodoma.
KUTOKA DODOMA 4U MOVEMENT
Breaking news! 5 bora iliyopitishwa na KK
Lowassa
Asha Roses
Magufuli
Dr. Bilal
Membe
Mr Hemed Ally
Mratibu Taifa (National Coordinator)
@4u movement
4U Movement | FRIENDS OF LOWASSA
INA UKWELI WOWOTE HII?
KUTOKA DODOMA 4U MOVEMENT
Breaking news! 5 bora iliyopitishwa na KK
Lowassa
Asha Rosesa
Magufuli
Dr. Bilal
Membe
Mr Hqemed Ally
Mratibu Taifa (National Coordinator)
@4u movem
4U Movement | FRIENDS OF LOWASSA
List yako inaukakasi mkuu