Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais


Mkuu umenifanya nicheke sana, maana mimi sijaelewa chochote kwenye hicho kiingereza chake
 
Hiyo Nchi anakabidhiwa Migiro au Magufuli au sita kivipi? Aliyekwambia atakayepita hapo ndio anakua Raisi ni nani? Hii sio mbio za vijiti unakabidhiwa tu. Yeyote atakayepita hapo uraisi atausikia tu. It's time for changes otherwise this country will remain stagnant forever.
 
I always trusted you bro and this post is marked to increse my your reputation to me. Tuonane asubuhi

I Just Admire Your English BUT I am very Keen To Know Which School Did You Go To And If Possible To Know Which Teacher Taught You This Kind Of English Otherwise I Appreciate Your Compliment Towards Me And May You Please Keep On Trusting Me.
 
jamani nini kinajiri huko dom hadi mida hii? tujuzeni walau kwani wengine tumekosa hadi usingizi.
 
Watu wanasubiria kama mechi ya May weather na Pacquao ngoja nilale zngu tu
 
I Just Admire Your English BUT I am very Keen To Know Which School Did You Got To And If Possible To Know Which Teacher Taught You This Kind Of English Otherwise I Appreciate Your Compliment Towards Me And May You Please Keep On Trusting Me.

Hahahahh.. umenifurahisha mkuu, ila vipi ANAKATWA au HAKATWI?
 

Unaniambia au Unanigombeza? Swine!
 
Baba yangu pekee ndie ajuaye rais ajaye na hatotoka kaskazini
 
kumbe upo mbona upo kimya sana unaacha vijana wa lowasa wanamchezea jk?

Kikwete anamalizia muda wake na wala hajali ni nani ataekuwa Rais ajae, wameshindwa kumchezea jana na juzi wataweza leo?

Unanshangaza!
 

Umeharibu uliposema wapo kwenye mchakato wa kutafuta 3 bora wakati kikao kitakachofanya hivyo hakifanyiiki sasa,hii ndio inafanya habari yako nzima kuwa porojo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…