Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Walinzi wenzangu mlio macho, kuna mwenye hakiba ya viroba, nataka matokeo yakitoka yanikute niko bwiiii
 
Ama kweli Lowasa ni mashine, anakihenyesha kikao c mchezo
 
I Just Admire Your English BUT I am very Keen To Know Which School Did You Go To And If Possible To Know Which Teacher Taught You This Kind Of English Otherwise I Appreciate Your Compliment Towards Me And May You Please Keep On Trusting Me.

Never mind of this language bro. I went to Saint Kayumba. Will that information satisfy you? Next time dont use capital letters at the beggining of every word you type.
 
Patamu humo mjengoni....watu wanakata ....wangine wanaunganisha...wanakata....wengine wanaunga. Hapo sasa. Hii ngoma bado sana mwenye kulala akalale tu.
 
Kikwete anamalizia muda wake na wala hajali ni nani ataekuwa Rais ajae, wameshindwa kumchezea jana na juzi wataweza leo?

Unanshangaza!


We bibie mpaka ramadhani inakata hata kunialika futuru?
 
Vikao vya CCM vinavyoendelea Dodoma jumpstart mgombea Urais Kupitia chama hicho sasa imegeuka Keri.

Kama chama tweaks, kila mwananchi amekuwa na hamu ya kujua ni nani atakaepitishwa na chama kugombea nafasi hii muhimu na atakaetoa taswira ya Serikali ya Swali ijayo.

Mpaka hivi yaelekea saa 7 usiku bado hakijaeleweka. Sasa Haina tofauti na zana zile za kukesha kusubiri mapambano ya ngumi ya Gwiji Tyson.
 
Unaniambia au Unanigombeza? Swine!
Panapokua na alama ya ulizo haimaanishi ni kugombezwa, hilo ni swali, na ukiuliza unasubiri ujibiwe sio kutukana. Haya nakujibu sasa... Nimeuliza na kutoa maelezo na wala sio kugomba... Haya tukana sasa hiyo swine yako.
 
I Just Admire Your English BUT I am very Keen To Know Which School Did You Go To And If Possible To Know Which Teacher Taught You This Kind Of English Otherwise I Appreciate Your Compliment Towards Me And May You Please Keep On Trusting Me.

Hii si shule ya kiingereza, kama umeelewa maudhui topa hoja na si kupanua mdomo wako u--kao kwa kupoteza muda wako na mambo ya kiingereza. Siku nyingine fikiri kidogo kabla ya kumwaga wino. Umeelewa au ndio kichwa chako ki-gu-mu.
 
Yaani nimelala weee hadi sasa hakuna kitu kha... hao CC hawachoki tuuu.
Kama wanamkata si wamkate ieleweke tu. Wamaongea nini huko
 
NEWS!!!!!



NAPE NAUYE:

Tumemaliza salama


MAJINA KESHO YATAPELEKWA HALMASHAURI KUU


NDIO UTARATIBU

YATAJULIKANA KESHO.



WAJUMBE WAMEONDOKA NA MAJINA HAYATAWEKWA HADHARANI



TUONANE KESHO
 
Vikao vya CCM vinavyoendelea Dodoma kumpata mgombea Urais Kupitia chama hicho sasa imegeuka Kero sasa.

Kama chama tawala, kila mwananchi amekuwa na hamu ya kujua ni nani atakaepitishwa na chama kugombea nafasi hii muhimu na atakaetoa taswira ya Serikali ya Swali ijayo.

Mpaka hivi yaelekea saa 7 usiku bado hakijaeleweka. Sasa Haina tofauti na zana zile za kukesha kusubiri mapambano ya ngumi ya Gwiji Tyson.
 
NEWS!!!!!



NAPE NAUYE:

Tumemaliza salama


MAJINA KESHO YATAPELEKWA HALMASHAURI KUU


NDIO UTARATIBU

YATAJULIKANA KESHO.



WAJUMBE WAMEONDOKA NA MAJINA
HAYATAWEKWA HADHARANI



TUONANE KESHO
Source: Uhuru FM
 
Majina yaliyopita

Lowasa,
membe,
Asharose,
Magufuli na
Billal....

Fact
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…