Lord Diplock MR
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 1,393
- 3,237
Leo hakuna kulala. Napita tuu.
Leo hakuna kulala. Napita tuu.
Nchimbi, Sofia simba wamekasirishwa sana na maamuzi ya kamati kuu wamesema wanaokubalika wamekatwa!
hawa e mm wote ni team lowasa yawezekana mzee kakatwa
source; clouds fm
Nape kashasema majina atayataja kesho saa nne asubuhi. kampumzike mkuu
duuh!......thiz is vere vere badi.Go And Learn The Meaning Of Trademark Then Come Back To Me Quickly So That We Can Now Argue Logically. Otherwise I Just Advice You To Keep Your Pig Mouth Shut.
watu wale wale tu na ujuaji ule ule.. mkuu punguzaga sifa sifa za kitoto bana au ukishajua post zako hua na warembo wanazisoma ndo huishi kuvaibreti??!
Kakatwa
Go And Learn The Meaning Of Trademark Then Come Back To Me Quickly So That We Can Now Argue Logically. Otherwise I Just Advice You To Keep Your Pig Mouth Shut.
Hili ni pigo kwa team lowassa maana hapo kesho kunauwezekano mkubwa hayo majina matano yasitajwe yakapelekwa moja kwa moja kwenye halimshauri kuu ambapo ni majina matatu yatasomwa.
Duuh we jamaaa unaandika mwandiko na heading kama Dissertation
Ugumu waupatao CCM nadhani ni kuwa wakimpitisha Lowassa inabidi na Membe apite kwenda kikao cha NEC...
Akikatwa mmoja pia inabidi wakatwe wote...
Kauli ya Dk Nchimbi kulalamikia mchakato mzima nayo inaonesha kuna surprise ya majina yatayotajwa kukipambazuka...