Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Sipati picha Wananchi wanapelekewa mtu wasie mtaka wampigie kura.
 
Hatimaye Kamati Kuu imemaliza kazi yake, tano bora hiyo hapo.
 

Attachments

  • 1436571393808.jpg
    27.1 KB · Views: 990

Toa tuu sasa hivi hiyo habari maana tumekesha wote tangu asubuhi,kwa hiyo ukituacha hivi haututendei haki Mtani.
 
naona sasa majina 5 yaliyokuwa yakisubiriwa kwa hamu yametoka.

Taarifa rasmi ni

1. MEMBE
2. JANUARY
3. AMINA
4. ASHA
5. MAGUFULI
 

Attachments

  • 1436571384893.jpg
    30.2 KB · Views: 422
  • 1436571405784.jpg
    29.2 KB · Views: 402
Kikwete kaikoa nchi kwa kuling'oa fisadi papa..sasa hao waliobaki UKAWA tutawamaliza asubuhi sana
 
Kuweni makini sana. Mtu anaweza kuwa manzese anauza mitumba halafu anawazuga yupo Dom.
Ndio maana hata picha ya geti hawezi kuweka

Haswa naona kina mtia nia wamekazana sana ku like baada ya kutoliona jina la el
 
Mchezo ndio umeanza. Moves and counter moves. Team ENL lazima ifanye uamuzi mgumu. Ukawa nawo wawe makini safari ya Ikulu ngumu wajipange kukatwa kwa ENL hakuifanyi safari yao kuwa rahisi. Mshikamo wao unatakiwa uongezeke otherwise watasambaratika wakifikiri njia ya state house nu nyeupe wakaleta uchama.
 
Aisee! naona John Pombe Magufuli ndo atakuwa chaguo la CCM maana hana makundi yoyote ndani ya chama.
 
Yanayojiri kwa mpini wa ccm kuiangamiza ukawa
 

Attachments

  • 1436571728289.jpg
    42.3 KB · Views: 514
Nimeshangazwa sana tano bora ya CCM, yaani January Makamba anaonekana ni bora zaidi ya Mwakyembe?

Yaani kuna watu hapa duniani wanaamini kuwa January anaweza kuwa raisi lakini sio Mwakyembe wala Muhongo na wengineo, very interesting.

Posted by: MCHUNGUZI HURU (Associate Professor)
 
Last edited by a moderator:
Eti Makamba over Jaji Brigedia Ramadhani, Dk Mahiga, even Mwigulu us better.

Masikini yuke std 7 hakujua CCM ina wenyewe. Hiyo milioni 1 si angenunua pembejeo?

Anyway, I see Team Lowassa voting for Magufuli.
 
Anyway ni maamuzi ya hatari na risks kubwa sana kwa CCM. Vigezo vya kumuacha Jaji Ramadhani, Dr. Mahiga, Pinda, Bilal na Mwigulu Nchemba sijui kama vinaweza kuwekwa wazi na yeyote yule hata kama Membe amepangwa kuipeperusha bendera ya CCM itakuwa kazi nyepesi sana kwa Ukawa kuongoza kwenye viti vya udiwani na Ubunge kwa 60+% Na kupata 52+% kwenye Urais.
Kwa Mara ya kwanza Upinzani wanapewa nchi hii.
 
Toa tuu sasa hivi hiyo habari maana tumekesha wote tangu asubuhi,kwa hiyo ukituacha hivi haututendei haki Mtani.

Mkuu Nimechoka Wewe Acha Tu Na Huwezi Amini NINAUMWA Na JINO Pamoja Na FIZI Lakini Nimejikaza Tokea Asubuhi Hadi Sasa Saa 9 Kasoro 20 Hii. Naomba Ruhusa Yako / Yenu Nipumzike Sasa. Nawapongeza Wale Wote Tulioanza Kuchangia Uzi Huu Tokea Kukuche Hadi Sasa Kwani Wote Mmeonyesha UKOMAVU Na UVUMILIVU Bila Kusahau UZALENDO Wa Hali Ya Juu Sana Na Wale Pro Lowassa Poleni Sana Hii Ndiyo Siasa ( Leadership Hazards ) Hivyo TUVUMILIANE Tu Na TUSINUNIANE Humu Jamvini. Binafsi Nawapendeni Nyote Japo Najua Kuna Niliowakwaza Hapa Na Pale Hivyo NAWAOMBENI Radhi Sana Kama Siyo Msamaha. Alamsiki Guys!
 
Eti Makamba over Jaji Brigedia Ramadhani, Dk Mahiga, even Mwigulu us better.

Masikini yuke std 7 hakujua CCM ina wenyewe. Hiyo milioni 1 si angenunua pembejeo?

Anyway, I see Team Lowassa voting for Magufuli.

Thubutu!!hapo Team Lowasa lazima wavote kwa hao Mademu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…