Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Lazima ana kundi ila halijawa open
Mkuu,
Ninaposema hana kundi haina maana hata familia yake haiko nyuma yake.

Ninapongelea makundi ndani ya CCM ninatoa kioo cha hali halisi ambayo imeigawa CCM.

Ukubwa wa kikundi chake utaongezeka watakapoenda kwenye NEC kwa sababu wale ambao walikuwa kwenye vikundi vya wagombea waliokatwa wataanza kutafuta sehemu ya 'kujikunyata'.

By the way, ulimuona wakati anatafuta wadhamini ndani ya CCM?
 

Ok poa Mkuu pole sana kwa jino,pumzika salama.
 
membe ndiye atapitiashwa na chama na si vinginevyo!
-mark my words.
 

Hv mnatoaga wapi ujasiri wakuandika uwongo namna hii ilhali ukijua kwamba ukweli utajulikana muda mfupi mbeleni??? We need to change
 
bernard membe ndiye atapitiashwa na chama na si vinginevyo!
-mark my words.
 
Sipati picha Wananchi wanapelekewa mtu wasie mtaka wampigie kura.

Wasiyemtaka kwani lini tuliwauliza wanamtaka nani?Lowassa alikamata television na magazeti, wananchi mtu pekee waliyekuwa wanamsikia ni Lowassa,wengine walikuwa wanaelezwa kwa ubaya sasa ulitegemea nin?

Sasa game tofauti kabisa, mgombea wa CCM atapata hiyo coverage ya chama tawala akienda na slogan ya Makongoro, tumewatimua vibaka...tumekirudisha chama chetu.Makongoro anapaswa awe kwenye timu ya kampeni,atafaa sana.
 
Hapo tatu bora ni Membe, Pombe, na Asha

Wewe mburulaa kweli! Hapo watakao enguliwa ni Membe na Asha huku amina akiwa Makamu. Huyo Dogo January atalamba pengine uPM
 

good Lowasa out
 
Nakumbuka kibonde alipaza sauti akasema SAFARI YA MATUMAINI!!!!! watu wenye shibe ya pesa wakajibu IMEANZA!!!
Nasikitia 4U movement.. yaani majungu yote yale..mapesa yote,.mafuriko ya wadhamini..lakini AMEKATWA! da CCM Wabaya wangemwambia mapema..naomba kujua kama ameshaenda ICU au bado. MUSSA ALLAN Mwalimu Julius OcampoR FOUR NA MR PRESIDENT jikaze ndio maisha
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…