Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Duh,
Ama kweli usichokifahamu ni kama usiku wa giza!

Naona Membe anatafutiwa dirisha la kutokea lakini ninaamini Timu Lowassa ambao ni wajumbe wa Halmashauri Kuu hawawezi kutoa kura zao kwa Membe.

CCM wakijigonga na kumchagua Membe watakuwa wanajipa kibarua kigumu kwa sababu Timu Lowassa itahakikisha inamwangusha ili wakose wote!

Nafasi ya CCM kushinda kwa sasa iko kwa Magufuli kwa sababu hana makundi ndani ya chama!

Lazima ana kundi ila halijawa open
 
View attachment 267205

Kwa wale msiojua kidhungu maana ya hurdles ni
ImageUploadedByJamiiForums1436570970.050684.jpg
 
Uliyoongea yote ni kweli Mkuu,Kikwete kaamua kucheza karata hatari kabisa kuliko zote katika maisha yake sababu kwa hali ya mambo ilivyokuwa hauwezi kumkata Lowasa then ukamwacha Membe asonge. Na hauwezi ukamkata Mtu kama Jaji Ramadhani then ukampa nafasi Makamba Jr. Haya mambo ni kama yale ya KANU ya Moi na Uhuru wake vs wakina Kibaki.

Nape na yule mwenyekiti yule lubuva wamemuhakikishia uwepo wa bao la mkono...masikini nchi yangu...
 
Wewe unanini cha kunifanya mimi? Nnakwambia kama ni mwanamme kweli sema wapi unataka nikukute na nione utakachokifanya, nnakuasa tu uje kuhadithia kitakachokukuta.

Hahaaha!! Ngumi tena??

No way. Nashauri mpingane bila kupigana.

LOL.
 
"Eloi, Eloi, lema sabachthani?" which means "My God, my God, why have you abandoned me?" yaani mungu wangu wangu mbona umeniacha.....hahaha ..AMEKATWAAAAAAA....
 
GENTAMYCINE uko juu... taarifa yako ya mchana ilikuwa ya ukweli. Ubarikiwe sana kuwa mkweli.

Bado Nasisitiza Na Nitaendelea Kusisitiza Kuwa Kuwa Ipo Siku Umuhimu Wangu Humu MTAUONA Na Nashukuru Kwamba Sasa Baadhi Mnaanza Kunielewa Na Fuatilieni Post Zangu Zote Za Leo NILIFUMBA SANA Kwa Sababu MAADILI Yalinibana Lakini Kilichotokea Sikuwa Nacho Mbali. Japo Nina Mapungufu Kadhaa Kama Binadamu ILA Nina FAIDA KUBWA SANA KWENU Haswa Kwa Kuwaleteeni Vitu Vya JIKONI Kabisa. Na Mimi Sasa Nataka Kujipumzisha Baada Ya Kazi Ndefu Na Tayari Nimeshapata Tena Breaking News Na Nikiamka Salama Asubuhi NITAWAMWAGIA au Kuwawekeeni Hadharani. Mchana Niliwaambia Watu Kuwa Kanyweni, Msheherekee Na Mfurahi Kwani Lowassa KAKATWA Lakini Nikaonekana Kama Natania. Sasa Naomba MNIHUKUMU Sasa Je Haijatokea? Narudia Tena Asubuhi Nakuja Na Kitu Very Exclusive.
 
Zitto na mamvi
 

Attachments

  • 1436571048686.jpg
    1436571048686.jpg
    61.2 KB · Views: 509
Uliyoongea yote ni kweli Mkuu,Kikwete kaamua kucheza karata hatari kabisa kuliko zote katika maisha yake sababu kwa hali ya mambo ilivyokuwa hauwezi kumkata Lowasa then ukamwacha Membe asonge. Na hauwezi ukamkata Mtu kama Jaji Ramadhani then ukampa nafasi Makamba Jr. Haya mambo ni kama yale ya KANU ya Moi na Uhuru wake vs wakina Kibaki.

Salama pekee ya CCM ni wagombea wengine waliokatwa mbali na Lowassa kuwa in agreement na huu uteuzi. Ninaimani walichelewa ili kupata general consensus yao. naamini kabisa leo JK kapiga simu thelathini kadhaa kubembeleza watu.

ofcourse kuna soft targets kama kina kigangwala,nyarandu etc.., ila kuna radicals kama kina Sumaye,Lowassa,Chikawe,Sitta,Mwakyembe, hawa wanatakiwa wawe handled with care.

Sasa nimeanza kuelewa confidence ya Membe ilitokea wapi. He had known all along he was shoe in for the top 5 and may be top 3. as much as i hate to admit, him and magufuli are front runners,save for a strong challenge from Migiro.

But crazier things have happened, god forbid wasimkabidhi nchi Makamba..,we will head for the dogs.
 
Tunamshukuru Kikwete kwa kutii mou kuwa Rais ajaye lazima awe Mkatoliki Bernad Membe ikumbukwe kuwa hapo Membe na Magufuli ni kambi moja pia Pinda, Mwakyembe, Sitta na Mwandosya wapo nyuma yake
 
Bado Nasisitiza Na Nitaendelea Kusisitiza Kuwa Kuwa Ipo Siku Umuhimu Wangu Humu MTAUONA Na Nashukuru Kwamba Sasa Baadhi Mnaanza Kunielewa Na Fuatilieni Post Zangu Zote Za Leo NILIFUMBA SANA Kwa Sababu MAADILI Yalinibana Lakini Kilichotokea Sikuwa Nacho Mbali. Japo Nina Mapungufu Kadhaa Kama Binadamu ILA Nina FAIDA KUBWA SANA KWENU Haswa Kwa Kuwaleteeni Vitu Vya JIKONI Kabisa. Na Mimi Sasa Nataka Kujipumzisha Baada Ya Kazi Ndefu Na Tayari Nimeshapata Tena Breaking News Na Nikiamka Salama Asubuhi NITAWAMWAGIA au Kuwawekeeni Hadharani. Mchana Niliwaambia Watu Kuwa Kanyweni, Msheherekee Na Mfurahi Kwani Lowassa KAKATWA Lakini Nikaonekana Kama Natania. Sasa Naomba MNIHUKUMU Sasa Je Haijatokea? Narudia Tena Asubuhi Nakuja Na Kitu Very Exclusive.

Umeeleweka usingiz mwema
 
Back
Top Bottom