johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Haaππππ πππDuh watu wamezira Hadi kwenye mitandao...
Time fliesRais Magufuli anaapishwa leo katika sherehe itakayohudhuriwa na viongozi wa nchi zaidi ya 20 na mabalozi zaidi ya 80 kutoka sehemu mbalimbali duniani.
Updates:
Rais Magufuli ameshakula kiapo kiapo na na kuweka saini.
Makamu wa Rais mama Samia naye ameshakula kiapo na kusaini.
Sasa Rais Magufuli anakabidhiwa mkuki na ngao kwa ajilu ya ulinzi wa taifa analoliongoza.
Kheeee!Nashukuru Jiwe limeprove kuwa watanzania wengi HATULIPENDI.
HATA HUO URAIS LIMEUPATA KWA WIZI.
Poleni sana ndugu ,jamaa na marafiki.Rais Magufuli anaapishwa leo katika sherehe itakayohudhuriwa na viongozi wa nchi zaidi ya 20 na mabalozi zaidi ya 80 kutoka sehemu mbalimbali duniani.
Updates:
Rais Magufuli ameshakula kiapo kiapo na na kuweka saini.
Makamu wa Rais mama Samia naye ameshakula kiapo na kusaini.
Sasa Rais Magufuli anakabidhiwa mkuki na ngao kwa ajilu ya ulinzi wa taifa analoliongoza.
Huu Uzi vipi ?! johnthebaptist . Walikuziria ?! . Au Leo ndiyo anaapishwa kwa kina malaika ?!. Uovu mbaya sanaRais Magufuli anaapishwa leo katika sherehe itakayohudhuriwa na viongozi wa nchi zaidi ya 20 na mabalozi zaidi ya 80 kutoka sehemu mbalimbali duniani.
Updates:
Rais Magufuli ameshakula kiapo kiapo na na kuweka saini.
Makamu wa Rais mama Samia naye ameshakula kiapo na kusaini.
Sasa Rais Magufuli anakabidhiwa mkuki na ngao kwa ajilu ya ulinzi wa taifa analoliongoza.
Hakika tutamkumbuka Baba MnyenyekevuHahahaaaa.......!
Mtanikumbuka - JPJM
Upo sayari gani mkuuRais Magufuli anaapishwa leo katika sherehe itakayohudhuriwa na viongozi wa nchi zaidi ya 20 na mabalozi zaidi ya 80 kutoka sehemu mbalimbali duniani.
Updates:
Rais Magufuli ameshakula kiapo kiapo na na kuweka saini.
Makamu wa Rais mama Samia naye ameshakula kiapo na kusaini.
Sasa Rais Magufuli anakabidhiwa mkuki na ngao kwa ajilu ya ulinzi wa taifa analoliongoza.
Kwani wewe upo Machame ipi?Upo sayari gani mkuu
Nyie huko bado mnamuapisha mwendazakeKwani wewe upo Machame ipi?
π ππππππππππNyie huko bado mnamuapisha mwendazake