Yaliyojiri kesi inayomkabili Mbowe na wenzake leo Februari 4, 2022. Kesi imeahirishwa. Shahidi wa 13 kuendelea kutoa ushahidi Februari 7, 2022

Nadhani huyu ndio shahidi wa mwisho kuota ushahidi wake wa mchongo ama

Ushahidi wa huyu bwana unaonyesha jinsi kesi ilivyopangwa kuwa at the end Mh Mbowe awe na hatia na wenzie waachiwe but time will tell
 
Huyu Swilla mbona analeta hadithi zilezile tu,tuliwakamata tukawanyan'ganya simu,nikaweka lebo sijui,simu hizi tayari zilishachunguzwa na yule bwana wa maabara(Forensics) na ndio alishindwa kuonesha meseji za ugaidi,mbona wanarudia tu yaleyale?
 
Naona baada ya Urio, kuacha matundu Mengi, ilibidi shahidi wengine warudishwe shule ili kufukia haya matundu
Sasa huyu atafukia nini mbona Mambo mengi ameanza kuyakoroga?
 
Asante sana The Sherrif Mungu akutie nguvu uendelee kutuhabarisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…