kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
Boya mama ako nababa ako waliokuzaa falaaa wewe ,hii kesi tunauzoefu nayo toka inaaza kunawatu wanakuletea show mwanzo mwisho ,kund___lakoAcha upumbavu wewe, hivi unajua kuandika kama hawa wanaofanya hivi kuleta update ni jambo rahisi?
Yaani wewe hata kuandika kwa mpangilio umeshindwa halafu unalaumu mleta update, hata aibu huna?! Boya kabisa wewe...
Duh!Boya mama ako nababa ako waliokuzaa falaaa wewe ,hii kesi tunauzoefu nayo toka inaaza kunawatu wanakuletea show mwanzo mwisho ,kund___lako
Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
Unajua kuwa kidaftari hicho kilishatupiliwa mbali na Mahakama?Hivyo basi ushahidi wowote utakaokuwa unahusiana na kidaftari basi ujue hauna maana katika maamuzi ya mahakama!Physical evidence hiyo mliyokuwa mnaitaka
Jaji: Wakili wa Serikali Tuendelee
Shahidi Niliweza Kuangalia Kwenye Kidaftari na Kujua ni Maeneo yapi
Wakili wa Serikali: Sasa Ulienda Eneo gani ambalo ulikuwa umeona kwenye Ali Daftari
Shahidi: Makutano ya Barabara ya Kilwa na Mandela, Nilibaini Kituo cha Mafuta cha GBP, pia Kituo cha Kuuzia Mafuta Cha Puma
Pia nilitembea Eneo la Kariakoo Jirani na Mwendokasi Kuna Kituo cha Bigbon, pia Nilienda Kituo cha Basi cha Morocco pia Nilikuta Kituo cha Kuuzia Mafuta cha Jina la Total Kituo hicho nacho Kilikuwa kina fanya Kazi ya Kuuza Mafuta
Wakili wa Serikali: Baada ya Kutembelea Maeneo hayo, Ulifanya nini
Shahidi: Baada ya Kufika na Maeneo hayo, niliweza Kumjulisha Afande Ramadhan Kingai Kamishina Msaidizi Wa Polisi, aKanitaka nichukue Sampuli za Maandishi ya Adam Kasekwa, Mohammed Ling'wenya na Khalfani Bwire
Punguza hasira mkuu mpongeze jamaa anafanya kazi nzuri Sana kumbuka bando ni lake hatujamchangia Ila wanajitolea tuunaletaje uzi humalizi ujinga acha watuletee wanaoweza baba tayari mmeaza kuhujimu kesi kiherehere Jambo humaliz
Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
Mpaka Kisumu tupoMpaka huku Kivu WaTanzania Masikio yote kwa Mwamba....muda kidogo shetani na wafuasi wake nguo kichwani Kariakoo saa saba mchana...
achana nae anadhani kuhusu mbowe wanaoumia ni chadema na familia yambowe ,tunahtaji Sana kupata Mambo yambowe haraka kadri iwezekanavyoPunguza hasira mkuu mpongeze jamaa anafanya kazi nzuri Sana kumbuka bando ni lake hatujamchangia Ila wanajitolea tu
Unajua kuwa kidaftari hicho kilishatupiliwa mbali na Mahakama?Hivyo basi ushahidi wowote utakaokuwa unahusiana na kidaftari basi ujue hauna maana katika maamuzi ya mahakama!Physical evidence hiyo mliyokuwa mnaitaka
Jaji: Wakili wa Serikali Tuendelee
Shahidi Niliweza Kuangalia Kwenye Kidaftari na Kujua ni Maeneo yapi
Wakili wa Serikali: Sasa Ulienda Eneo gani ambalo ulikuwa umeona kwenye Ali Daftari
Shahidi: Makutano ya Barabara ya Kilwa na Mandela, Nilibaini Kituo cha Mafuta cha GBP, pia Kituo cha Kuuzia Mafuta Cha Puma
Pia nilitembea Eneo la Kariakoo Jirani na Mwendokasi Kuna Kituo cha Bigbon, pia Nilienda Kituo cha Basi cha Morocco pia Nilikuta Kituo cha Kuuzia Mafuta cha Jina la Total Kituo hicho nacho Kilikuwa kina fanya Kazi ya Kuuza Mafuta
Wakili wa Serikali: Baada ya Kutembelea Maeneo hayo, Ulifanya nini
Shahidi: Baada ya Kufika na Maeneo hayo, niliweza Kumjulisha Afande Ramadhan Kingai Kamishina Msaidizi Wa Polisi, aKanitaka nichukue Sampuli za Maandishi ya Adam Kasekwa, Mohammed Ling'wenya na Khalfani Bwire
Kwanza walichoomba dakika 15 waongee na mawakili wa utetezi walikuwa wanaomba nini mrejesho hatujapata.Najua leo mawakilo wa serikali watafanya wawezavyo ili mradi cross examination isifanyike kesi iahirishwe mpaka jumatatu
Ana udhaifu wa kuomba omba bando Lumumba.Hongera kutujuza udhaifu wa Wakili Msomi. Wewe una udhaifu gani?
My dear friend unfortunately it does not work that way- brace for the bad new- Mbowe is going to jail.Unajua kuwa kidaftari hicho kilishatupiliwa mbali na Mahakama?Hivyo basi ushahidi wowote utakaokuwa unahusiana na kidaftari basi ujue hauna maana katika maamuzi ya mahakama!
Hicho kidaftari ni sawa na hakipo baada ya kukataliwa mahakamani!
Sasa huo ushahidi wa miandiko ni upotezaji wa muda maana msingi wake ungekuwa na maana kama kidaftari kingekuwa kielelezo!U got that?
Thump upUnajua kuwa kidaftari hicho kilishatupiliwa mbali na Mahakama?Hivyo basi ushahidi wowote utakaokuwa unahusiana na kidaftari basi ujue hauna maana katika maamuzi ya mahakama!
Hicho kidaftari ni sawa na hakipo baada ya kukataliwa mahakamani!
Sasa huo ushahidi wa miandiko ni upotezaji wa muda maana msingi wake ungekuwa na maana kama kidaftari kingekuwa kielelezo!U got that?
Tajiri bichwa bovu ndiye anatakiwa afungwe haraka🤔.Wamfunge haraka huyu gaidi
Nyie akina wabambikiaji ndio mjiandae kwenda kuungana na bosi saa mbovu.My dear friend unfortunately it does not work that way- brace for the bad new- Mbowe is going to jail.
Kujua kiingereza ni subset. Set nzima ni kujua sheria. Maana yake: unaweza kujua kiingereza na usiwe mjuzi wa sheria, lakini kama unajua sheria (aromatically) utakuwa unajua kiingereza. (Hii ni ktk mazingira yetu haya ambapo lugha ya kufundishia sheria ni kiingereza)Mkuu kama hujui kiingereza hizo sheria utazijuaje wakati ziko katika kiingereza