Yaliyojiri kesi inayomkabili Mbowe na wenzake leo Februari 4, 2022. Kesi imeahirishwa. Shahidi wa 13 kuendelea kutoa ushahidi Februari 7, 2022

kama mimi yaani
 
Najiuliza: Kwa nini wanaleta mashahidi kama huyu? Alisema chochote kinachoweza kuthibitisha mashtaki? Nje ya kwamba aliambiwa Mbowe aliandaa Ugaidi?
Toka mashahidi waanze kutoa ushahidi wao wanaongelea ukamataji, uwekaji mahabusu, kuandika maelezo, kusafrisha washitakiwa, kuharibika kwa gari njiani, detention register,miala ya simu shs 500,000/- Kama fidia ya nauli n.k. Hakuna ushahidi unaotolewa unaoonyesha mwelekeo wa ugaidi, hata mashahidi muhimu kina Kingai, Mahita,Urio na huyu anayeendele hawaonyeshi. Sasa ugaidi utaelezwa lini na nani?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
UTI na tezi dume.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…