Chadema mnajitahidi sana kumtoa mwenyekiti kabla ya hukumu.
Kama hana hatia na mnao uhakika,mbona mnatafuta huruma mitandaoni?
Pia kesi inaelekea ukingoni,je kwa nini msiache hukumu itoke?
Hao kina dada wa kutoka BAWACHA ni moja ya mikakati mahsusi iliyoandaliwa na ofisi kule KINONDONI - UFIPA.
Ni sawa na wale mliowakusanywa kule Arusha kutokea Sanawari na kupewa posho ya 15,000/=@
Na usafiri
Kisha wakakusanyika kumzomea na kushangilia kwenye mahakama ya RAMS Siku ya kesi ya Sabaya ilipotajwa mara ya kwanza.
Wamekusanywa na wakakusanyika,nauli ya kurudi pamoja na posho ya Lunch, wanayo vibindoni mwao.
Tusiyumbishe mahakama kila uchao,mnakuja na kituko kipya Mara keki,Mara wazungu mahakamani,mara mapambio na leo BAWACHA.