Yaliyojiri Kesi ya Mbowe: RPC Kingai aeleza Mbowe alivyopanga kumdhuru Ole Sabaya. Kesi yaahirishwa hadi 27 Oktoba 2021

Chadema nyie mliachwa mkaota mapembe eenhe. Mtoto mtukutu akiachwa akakuwa bila kupunguzwa makali anajihisi na yeye ni baba
 
Dah,huyu Kibatala atamuua Kingai kwa maswali magumu hadi jamaa anapaniki.

Hakuna kesi hapo hata huyo jaji kama ni zoefu atakuwa ameanza kuandaa hukumu hata kabla kesi haijaisha maana anajia kabisa kesi ni ya kupikwa.
 
kwa namna ulivyoandika maneno ni rahisi mno kujua kiwango cha elimu ulichonacho
 
Hii kesi inaidhalilisha nchi,kama makomandoo 3 wenye bastola1,madawa ya kulevya pamoja na uwezo wa kuzuia magari kwa kupanga miti barabarani wanaweza wakafanya ugaidi na kuwashinda polisi pamoja na jeshi la nchi lenye makomandoo lukuki pamoja na silaha nzito za kivita, basi tutegemee kuwa kuna siku nchi itapigwa na sungusungu wanaotumia mishale na mikuki.
 
Kumbe walevi wa kuwasukuma bado wapi?
 
Yaani Samia apoteze muda wake kuja kuhojiwa na wakili kilaza kama Kibatala? Samia huyu huyu mnayempigia magoti kila siku kuomba kuonana naye? Unaota...
tunachoomba kukutana nacho ni mamlaka ya Urais tu , lakini Samia ni wa kawaida sana , usijisahau utachekwa , angalia picha hii halafu waulize wanaokulipa kwamba ilikuwaje .

 
CCM wakishirikiana na kina kingai wameitunga hii kesi na ndiyo maana ina mapengo mengi mno.

Ukiwa Jaji wa haki kabisa hakuna haja na kusikiliza hii kitu, wastage of country resources.
Zipo tetesi kwamba baada ya wiki 2 jaji huyu naye atajiuzulu
 
tunachoomba kukutana nacho ni mamlaka ya Urais tu , lakini Samia ni wa kawaida sana , usijisahau utachekwa , angalia picha hii halafu waulize wanaokulipa kwamba ilikuwaje .

View attachment 1987762
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nyie ni wajinga!

Mbona mkiambiwa Rais katoa bilioni kadhaa huwa mnahoji kwani zake?

Kwani hilo la mamlaka ya urais yapo kwenye kukutana na wapinzani tu?
 
Mijitu mizima haina aibu, haina mchango wowote kwenye taifa imebaki kujaza vyoo tu Central na vituoni mwao.

Kufeni zenu huko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…