Yaliyojiri kilele cha wiki ya mwananchi uwanja wa Mkapa

Yaliyojiri kilele cha wiki ya mwananchi uwanja wa Mkapa

Wewe sidhani kama hata huo MPIRA unaujua sidhani yaan, nasisitiza sidhani kama unaujua hata mpira ww. YAAN MUKOKO huoni future yake? Unataka kusema Tshishimbi anaweza mweka benchi MUKOKO.. KWA NILIVYOMUONA TZ NZIMA HAKUNA HOLDING MIDFIELD KAMA MUKOKO, NARUDIA HAKUNA HOLDING MIDFIELD KAMA MUKOKO, HAO SIJUI AKINA MKUDE, SIJUI FRAGA HAWAMFIKII HATA NUSU HUYO JAMAA.
UKICHAMBUA MPIRA KIUSHABIKI NI SHIDA SANA. SAPORNG ana NGUVU, ANA DRIBLE VIZURI, ANA SPEED BADO UNASEMA HAJUI? HAINA HAYA TUENDELEE KUCHAMBUA MPIRA KAMA TUNA UCHIZI WA KIWANGO HIKI.

Kitendo tu cha kuandika kwa herufi kubwa kinaonyesha unachokiandika hukiamini hata wewe na ndio maana unajaribu kutumia nguvu ya ziada (unapiga makelele)
 
Wewe sidhani kama hata huo MPIRA unaujua sidhani yaan, nasisitiza sidhani kama unaujua hata mpira ww. YAAN MUKOKO huoni future yake? Unataka kusema Tshishimbi anaweza mweka benchi MUKOKO.. KWA NILIVYOMUONA TZ NZIMA HAKUNA HOLDING MIDFIELD KAMA MUKOKO, NARUDIA HAKUNA HOLDING MIDFIELD KAMA MUKOKO, HAO SIJUI AKINA MKUDE, SIJUI FRAGA HAWAMFIKII HATA NUSU HUYO JAMAA.
UKICHAMBUA MPIRA KIUSHABIKI NI SHIDA SANA. SAPORNG ana NGUVU, ANA DRIBLE VIZURI, ANA SPEED BADO UNASEMA HAJUI? HAINA HAYA TUENDELEE KUCHAMBUA MPIRA KAMA TUNA UCHIZI WA KIWANGO HIKI.
Unajua maana ya Holding midfield kweli au umeongea tu
 
Ww mpira ama hujaangalia au HUJUI.. we unadhani aliyekuwa anakichafua kati pale chini ya FEI TOTO ni MKUDE? Basi yule ndio MUKOKO na ni HOLDING MIDFIELDER anadrible, ana stamina hata accuracy ya pasi zake leo nadhani kwenye 85% to 90%. Unadhani kiungo wa chini anakuwa na udambwi dambwi mwiiiiiingi basi hapa hata ukifatilia wale viungo wa chini bora unakuta hawana mambo mengi kama unavyodhania ww boya usiyejua mpira, Ushawahi muona POGBA anavyocheza akiwa chini? Basi ndio kaliba ile ya MUKOKO na akisogea ana nguvu ya kupiga shuti za kibabe ambazo kama ujuavyo MANULA HAWEZI DAKA.
Unajitahidi kuelezea hata vitu usivyo vijua, ko pogba ni holding midfielder?
Mkoko sio holding midfielder .
 
Ila nimesikitika sana kwani wanaojiita wananchi kiukweli sio wananchi bali ni kundi kubwa la uneducated linalotumiwa na watu kama rostam, gharib na manji ambao walikuwa na bado mafisadi papa waliofisadi pesa za wavuja jasho wanaonekana mashujaa kisa ni washabiki wa yanga.
Manji na Gharib wakati wa serikali ya awamu ya nne walifanya watakavyo na kukwepa kodi na hakuna asiyejua uhusika wa rostam kwenye kashifa ya umeme
Mkuu kama una ushsidi na haya yote unayoandika peleka kesi mahakamani hawa jamaa wachukuliwe hatua.
 
Simba kwa hii mipasho waanzishe na bendi ya Taarabu pale, kiongozi wao Manara..
 
Mkuu Tuisila ni mzuri, ila Molinga na Tshishimbi nadhani walitakiwa wabaki, sioni future ya Sapong na Mukoko.
Tatizo la Tshishimbi alikuwa hana utulivu, halafu hakai kwenye njia za mpira. Wakati Mukoko yeye anatulia na anakaa kwenye njia za mpira. Kuhusu Molinga alikuwa mzito mno huwezi linganisha na movement anazofanya Sarpong, huyu jamaa ni natural striker. Kwa kweli wamejitahidi sana hasa ukizingatia kipindi walichofanya mazoezi ni kipindi kifupi. Halafu sehemu kubwa ya wachezaji wa nje ligi zao zilikuwa zimesimama kwa muda wa zaidi ya miezi 4. Ila wasiwasi wangu upo kwa Waziri Junior naona kama bado haamini kuwa yupo Yanga. Hii timu ikikaa pamoja for some time itatoa upinzani wa kweli sio sawa na ile ya mwaka uliopita.
 
Unajiliwaza tu,hao wachezaji ni wazuri sanaaaaa! Kama umewapenda hao unaowataka kanywe nao chai. Wananchi tushaamua!
Hizi tabia za kuwachambua wachezaji kishabiki zinawaumbua sana watu. Morisson walimtukana wee kuwa hajui mpira na ni mwizi wa naniliu. Leo hii wanamwimba kwa misifa kibao kuliko hata huyo Mwamba wa Lusaka.
 
Leo mukoko kajificha kwenye kivuli cha fei toto, maana fei alikuwa wa moto sana km alivyokuwa mwisho msimu, ngoja mukoko tumuone kuanzia j2 ijayo na prison
Ndo Yale Yale ya kushikiwa Akili,umeona kabandiko Fulani mtu kaandika hivyo na wewe unakuja kutuambia hivyo. Yule Serge Mukoko Tonombe ni kiungo mzuri sana!!
 
Unajitahidi kuelezea hata vitu usivyo vijua, ko pogba ni holding midfielder?
Mkoko sio holding midfielder .
Huyo jamaa ni habari nyingine. Ni difensive mido ila anaweza aka ofa hata holding!
 
Ila nimesikitika sana kwani wanaojiita wananchi kiukweli sio wananchi bali ni kundi kubwa la uneducated linalotumiwa na watu kama rostam, gharib na manji ambao walikuwa na bado mafisadi papa waliofisadi pesa za wavuja jasho wanaonekana mashujaa kisa ni washabiki wa yanga.
Manji na Gharib wakati wa serikali ya awamu ya nne walifanya watakavyo na kukwepa kodi na hakuna asiyejua uhusika wa rostam kwenye kashifa ya umeme
naona wewe utakua ni mjamzito mimba ina kusumbua, kwani baba yako alikatazwa kua fisadi, acha kushobokea watu ambao hata auwezi lingana nao
 
naona wewe utakua ni mjamzito mimba ina kusumbua, kwani baba yako alikatazwa kua fisadi, acha kushobokea watu ambao hata auwezi lingana nao
We binti mbona una kiherehere maana kila kitu kurukia hata califonia hujui kuandika na hutaweza kupata kizazi kwa jinsi unavyochoropoa mimba
 
naona wewe utakua ni mjamzito mimba ina kusumbua, kwani baba yako alikatazwa kua fisadi, acha kushobokea watu ambao hata auwezi lingana nao
Wa juzi huyo hajui kuwa metl walisha tulisha mchele mbovu hapa
 
Hizi tabia za kuwachambua wachezaji kishabiki zinawaumbua sana watu. Morisson walimtukana wee kuwa hajui mpira na ni mwizi wa naniliu. Leo hii wanamwimba kwa misifa kibao kuliko hata huyo Mwamba wa Lusaka.
Tafadhali mkuu, usimguse CCC, sio vyema.
 
Yule mzee yusuph si karudi au mnasahau alikuwa kiongozi wenu mwambieni awatungie nyimbo
Huu ni uchawi ukiwa bado kijana, wachawi hawapendi siku zote maendeleo ya wengine, mnatafuta kila namna kuondoa furaha ya wanajangwani lakini Mungu mkubwa hamtafanikiwa maisha.
 
Back
Top Bottom