Da Gladiator
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 1,641
- 2,646
- Thread starter
-
- #41
Labda mboto.Aliimba nani?
Mbn umeacha mapengo ?!
Kama sehemu ipi?Mbn umeacha mapengo ?!
Hujambo Lakini ?!Kama sehemu ipi?
Bwana harusi sio lazima apendeze, pendeza wewe wa upande wa pili wa harusi.Naona Yanga wanaingia uwanjani kuwasalia washabiki. Hata hawajapendeza.
Masuti mabaya. Ha ha haBwana harusi sio lazima apendeze, pendeza wewe wa upande wa pili wa harusi.
Id yako tu shidaMasuti mabaya. Ha ha ha
Kwann mkuu.Id yako tu shida
Wanatia huruma. Wapo kimyaaa. Simba wamewafunikaHuku vipi mbona hamsikiki wakati mnashuhuli
Mbn umeacha mapengo ?!
Wamekaa mbali mbali, wahuni. Wameruka vitiAnadhani sisi hatuna macho wakati tunaona Live Azam! Mapengo kama yote
Namba 33.Morrison leo katika Timu yetu ya Wananchi anacheza namba ngapi?