Yaliyojiri kilele cha wiki ya mwananchi uwanja wa Mkapa

Yaliyojiri kilele cha wiki ya mwananchi uwanja wa Mkapa

Hali halisi, kwa nkapa.
 
Ha ha , karibu NAWATAFUNA. kwenye uzi
Nipo Mwanalumango kwa babu,anapiga manyanga ili mvua kubwa sana inyeshe kuzunguka maeneo ya keko,chang'ombe,sabasaba,Temeke polisi.
Lipige vua moja kubwa sana likatike saa mbili usiku.
 
Sasa kama wako wachache wewe inakuuma nini hata hao Mbumbumbu/Mikia wakiujaza uwanja wewe umeongezewa shibe nyumbani kwako waachie Yanga mambo yao wewe endelea ba kituo chako cha kulelea wazee
 
Kwanza nijitambulishe, mimi ni Simba Sc fun, naipenda Simba Sc to the Climax/Fullest. Leo ni kilele cha wiki ya mwananchi, uwanja wa mkapa, nimefungua uzi maana naona dalili mbaya , nawaonea huruma wana yanga, Leo wanakwenda kuaibika, unajua kwanii ?!
1. Unajua siku zote wanaoujaza uwanja katika mechi za Dar Young Africans ni Simba Sc ndio huwa tunawasaidia kuujaza uwanja, lakini kwa masikitiko Leo tunajambo letu Arusha, hivo hamtapata watu.
2.Washabiki wengi wa vilabu vya Simba Sc na Dar Young Africans ni wanasiasa na wasanii, mfano Mo, Jk, Mwigulu,Diamond, Harmonize, Mboto, JB, Nandy, Piere Liquid. mbaya zaidi kupindi hiki wapo bize na kampeni, hivo hawahamasishi nawala hawatahudhuria.

Karibuni,
Kapicha nimeweka, ilikuwa 1104Hrs.View attachment 1552880
Tupe update kwasasa watu wameongezeka kwa kiasi gani?
 
Kwa nyomi lilopo uwanjani hadi sasa hivi nahamini kufikia saa kumi na moja uwanja utakua unatapika kuna watu wengi uwanjani pia nje bado kuna mistari ya Watu wengi Sana wanaingia uwanjani
 
Back
Top Bottom