Da Gladiator
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 1,641
- 2,646
- Thread starter
-
- #161
Mkuu Tuisila ni mzuri, ila Molinga na Tshishimbi nadhani walitakiwa wabaki, sioni future ya Sapong na Mukoko.Kwa hii Yanga ninayoiona sasa, nikiifanisha na Simba niliyoiona kwenye Simba day, kiukweli kabisa, Yanga bado sana hususani kwenye umaliziaji. Yanga hawako smart kabisa kwenye kufunga.
Yote kwa yote, Refa wa mchezo kaharibu mpira kwa kutoa kadi nyekundu. Mantiki ya Yanga kujipima nguvu na kukipima kikosi chao haipo tena. Matokeo yoyote hapo yanawapa Simba nafasi ya kukosoa na kuikejeli Yanga.
Wewe sidhani kama hata huo MPIRA unaujua sidhani yaan, nasisitiza sidhani kama unaujua hata mpira ww. YAAN MUKOKO huoni future yake? Unataka kusema Tshishimbi anaweza mweka benchi MUKOKO.. KWA NILIVYOMUONA TZ NZIMA HAKUNA HOLDING MIDFIELD KAMA MUKOKO, NARUDIA HAKUNA HOLDING MIDFIELD KAMA MUKOKO, HAO SIJUI AKINA MKUDE, SIJUI FRAGA HAWAMFIKII HATA NUSU HUYO JAMAA.Mkuu Tuisila ni mzuri, ila Molinga na Tshishimbi nadhani walitakiwa wabaki, sioni future ya Sapong na Mukoko.
Weken video ya konde boy alinavyougulia
Movie imekamilika we endelea kulia kulia.
Unajiliwaza tu,hao wachezaji ni wazuri sanaaaaa! Kama umewapenda hao unaowataka kanywe nao chai. Wananchi tushaamua!Mkuu Tuisila ni mzuri, ila Molinga na Tshishimbi nadhani walitakiwa wabaki, sioni future ya Sapong na Mukoko.
Mukoko hajui mpira, Sapong mcheza mieleka, waziri mkimbia riadha. Kisinda ndo mchezaji. Yule mreno anajua ila mpira wa bongo utamshinda.Wewe sidhani kama hata huo MPIRA unaujua sidhani yaan, nasisitiza sidhani kama unaujua hata mpira ww. YAAN MUKOKO huoni future yake? Unataka kusema Tshishimbi anaweza mweka benchi MUKOKO.. KWA NILIVYOMUONA TZ NZIMA HAKUNA HOLDING MIDFIELD KAMA MUKOKO, NARUDIA HAKUNA HOLDING MIDFIELD KAMA MUKOKO, HAO SIJUI AKINA MKUDE, SIJUI FRAGA HAWAMFIKII HATA NUSU HUYO JAMAA.
UKICHAMBUA MPIRA KIUSHABIKI NI SHIDA SANA. SAPORNG ana NGUVU, ANA DRIBLE VIZURI, ANA SPEED BADO UNASEMA HAJUI? HAINA HAYA TUENDELEE KUCHAMBUA MPIRA KAMA TUNA UCHIZI WA KIWANGO HIKI.
Pole sana kwa mateso makali unayoyapitia bila sababu za msingiKwa hii Yanga ninayoiona sasa, nikiifanisha na Simba niliyoiona kwenye Simba day, kiukweli kabisa, Yanga bado sana hususani kwenye umaliziaji. Yanga hawako smart kabisa kwenye kufunga.
Yote kwa yote, Refa wa mchezo kaharibu mpira kwa kutoa kadi nyekundu. Mantiki ya Yanga kujipima nguvu na kukipima kikosi chao haipo tena. Matokeo yoyote hapo yanawapa Simba nafasi ya kukosoa na kuikejeli Yanga.
Mkuu unabisha, Faridi, Gift, Kisinda, Ninja, na Mwamnyeto ndo mmesajili ila hao wengine. Hamna kituUnajiliwaza tu,hao wachezaji ni wazuri sanaaaaa! Kama umewapenda hao unaowataka kanywe nao chai. Wananchi tushaamua!
Kisinda msimu ujao tunamchukuaHILI FUNIKO LA LEO SIJUI LITAFUNULIWA LINI!! HAKUNA TIMU KUBWA KAMA YANGA HAPA NCHINI!
Yeah! Huyo anakuwa mnyama [emoji881]Kisinda msimu ujao tunamchukua
Ww mpira ama hujaangalia au HUJUI.. we unadhani aliyekuwa anakichafua kati pale chini ya FEI TOTO ni MKUDE? Basi yule ndio MUKOKO na ni HOLDING MIDFIELDER anadrible, ana stamina hata accuracy ya pasi zake leo nadhani kwenye 85% to 90%. Unadhani kiungo wa chini anakuwa na udambwi dambwi mwiiiiiingi basi hapa hata ukifatilia wale viungo wa chini bora unakuta hawana mambo mengi kama unavyodhania ww boya usiyejua mpira, Ushawahi muona POGBA anavyocheza akiwa chini? Basi ndio kaliba ile ya MUKOKO na akisogea ana nguvu ya kupiga shuti za kibabe ambazo kama ujuavyo MANULA HAWEZI DAKA.Mukoko hajui mpira, Sapong mcheza mieleka, waziri mkimbia riadha. Kisinda ndo mchezaji. Yule mreno anajua ila mpira wa bongo utamshinda.
Leo mukoko kajificha kwenye kivuli cha fei toto, maana fei alikuwa wa moto sana km alivyokuwa mwisho msimu, ngoja mukoko tumuone kuanzia j2 ijayo na prisonWewe sidhani kama hata huo MPIRA unaujua sidhani yaan, nasisitiza sidhani kama unaujua hata mpira ww. YAAN MUKOKO huoni future yake? Unataka kusema Tshishimbi anaweza mweka benchi MUKOKO.. KWA NILIVYOMUONA TZ NZIMA HAKUNA HOLDING MIDFIELD KAMA MUKOKO, NARUDIA HAKUNA HOLDING MIDFIELD KAMA MUKOKO, HAO SIJUI AKINA MKUDE, SIJUI FRAGA HAWAMFIKII HATA NUSU HUYO JAMAA.
UKICHAMBUA MPIRA KIUSHABIKI NI SHIDA SANA. SAPORNG ana NGUVU, ANA DRIBLE VIZURI, ANA SPEED BADO UNASEMA HAJUI? HAINA HAYA TUENDELEE KUCHAMBUA MPIRA KAMA TUNA UCHIZI WA KIWANGO HIKI.
Pia kumbuka walikuwa wana ReDLeo mukoko kajificha kwenye kivuli cha fei toto, maana fei alikuwa wa moto sana km alivyokuwa mwisho msimu, ngoja mukoko tumuone kuanzia j2 ijayo na prison
Hizo asilimia unaziandika tu hovyo hovyo, unamjua Mkude 'Nungunungu' vizuri ?!Ww mpira ama hujaangalia au HUJUI.. we unadhani aliyekuwa anakichafua kati pale chini ya FEI TOTO ni MKUDE? Basi yule ndio MUKOKO na ni HOLDING MIDFIELDER anadrible, ana stamina hata accuracy ya pasi zake leo nadhani kwenye 85% to 90%. Unadhani kiungo wa chini anakuwa na udambwi dambwi mwiiiiiingi basi hapa hata ukifatilia wale viungo wa chini bora unakuta hawana mambo mengi kama unavyodhania ww boya usiyejua mpira, Ushawahi muona POGBA anavyocheza akiwa chini? Basi ndio kaliba ile ya MUKOKO na akisogea ana nguvu ya kupiga shuti za kibabe ambazo kama ujuavyo MANULA HAWEZI DAKA.
H ha ha ha ha hA, kupata kituko kama cha Harmonize bofya *149*Mwananchi# kisha OKHamna msanii Mkubwa Wa bongo fleva kumzidi harmonize hapa bongo!
Hao ndy Mnyero fc original, wengine ni photocopyMukoko hajui mpira, Sapong mcheza mieleka, waziri mkimbia riadha. Kisinda ndo mchezaji. Yule mreno anajua ila mpira wa bongo utamshinda.