RealMan
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 2,367
- 1,394
Lile kongamano la jana lilikuwa tamu sana, Nkrumah ilitema mpaka nje. Watu tumesimama toka saa 4 hadi hadi saa 8 bila kuchoka maana sehemu kubwa ya waliozungumza walikufanya ujue what next.
Ukiangalia wachangiaji wengi hapa na wa jana tunakubaliana jambo moja kwamba KATIBA IANDIKWE UPYA.
Tatizo lililopo ni namna gani itaandikwa na tusipoangalia tutabishana kwenye hili ghafla 2015 hiyooo.
Kuna mchangiaji mmoja jana aliuliza "Wananchi tufanye nini ili kuipata hii katiba mpya???"
Pengine pamoja na mashaka yetu juu ya tume ya rais pengine tuipe a benefit of doubt kwamba inaweza kuja na mawazo ya mchakato gani utumike kuifikia hiyo katiba maana rais ameahidi tume itaongozwa na mtaalam wa sheria aliyebobea ( of coz sio Werema).Otherwise mijadala kama ya jana inafaa iendelee, natamani wale wasomi wa makanisa na miskiti waliotengeneza manifesto zao mwaka 2010 kabla ya uchaguzi waje na mjadala pia. Wasiongelee dini zao bali msitakbali wa nchi kwa jicho la dini. TUCTA nao wafanye hivyo upade wa wafanyakazi wakati NGOs ziangalie namna ya kuwaunganisha wakulima na wafugaji ili wajue katiba ndio pembejeo, maji, malisho ya mifugo yao n.k
Ukiangalia wachangiaji wengi hapa na wa jana tunakubaliana jambo moja kwamba KATIBA IANDIKWE UPYA.
Tatizo lililopo ni namna gani itaandikwa na tusipoangalia tutabishana kwenye hili ghafla 2015 hiyooo.
Kuna mchangiaji mmoja jana aliuliza "Wananchi tufanye nini ili kuipata hii katiba mpya???"
Pengine pamoja na mashaka yetu juu ya tume ya rais pengine tuipe a benefit of doubt kwamba inaweza kuja na mawazo ya mchakato gani utumike kuifikia hiyo katiba maana rais ameahidi tume itaongozwa na mtaalam wa sheria aliyebobea ( of coz sio Werema).Otherwise mijadala kama ya jana inafaa iendelee, natamani wale wasomi wa makanisa na miskiti waliotengeneza manifesto zao mwaka 2010 kabla ya uchaguzi waje na mjadala pia. Wasiongelee dini zao bali msitakbali wa nchi kwa jicho la dini. TUCTA nao wafanye hivyo upade wa wafanyakazi wakati NGOs ziangalie namna ya kuwaunganisha wakulima na wafugaji ili wajue katiba ndio pembejeo, maji, malisho ya mifugo yao n.k