Makani_evarist
Senior Member
- Sep 5, 2020
- 192
- 136
Hakika nmekuona unaongozwa na akili za zamani wewe. 2015 yenyewe Magufuli kaongoza sembuse na Mwaka huu??? Are you normal mentally?Unajua ukweli bora tuseme tuu hakuna mbunge mwenye kazi nyepesi kurudi bungeni kama Zitto. Ila pia naamini kwa Kigoma mjini Lissu atapata kura nyingi kuliko mgombea yeyote ule wa urais!
Yani Lissu atapata kura nyingi ila mgombea wa Chadema wa ubunge hatapita!
Aminia Mwaka huu Zitto hatoboiAnything can happen ,Ni swala la Muda tu
Mnasema Zitto ni ngumu kutoka leo watu wake wa kigoma wamefanya haya hapaMalisa[emoji106]
NakujibuUnaniTAG ili iweje?
Unanifahamu mimi?
Ushawahi kuniona naongelea masuala ya siasa?
Unanitumia hiyo mipicha inanisaidia nini?
Mkuu mimi sijihusishi na masuala ya vyama na wala sitojihusisha kamwe.Nakujibu
Sawa basi usishabikie siasa kabisa mkuu maana nlikuona umeunga mkono hoja ya kwamba Zitto hawezi kutoka KigomaMkuu mimi sijihusishi na masuala ya vyama na wala sitojihusisha kamwe.
Onyesha comment niliyosema namuunga mkono Zitto Kabwe.Sawa basi usishabikie siasa kabisa mkuu maana nlikuona umeunga mkono hoja ya kwamba Zitto hawezi kutoka Kigoma
Kweli uanza na ndotoHiyo ni ndoto unayoota
Sasa toa wale waliokuja fiesta, toa wale wa kusombwa.Kigoma jambo letu limekamilika
View attachment 1573464
Huyo huyo Bashiru alisema CCM haitatumia wasanii tena TOT inatosha...Muulize leo imekuwaje? Bila wasanii na malori ingekua aibu..endeleeni kuwapa raha ya Fiesta watanzania maana miaka mitano yote hii wamekua wanyonge na wasio na furaha!Dr. Bashiru alisema kama waona donge si nanyi mtumie...