sory wadau hivi ruge na zamaradi ni wapenzi au??
sory wadau hivi ruge na zamaradi ni wapenzi au??
Mpambano uko instagram.....kila mtu amemuwish baby ruge hbd. Madongo yanarushwa na wahusika huku washabiki wa team zote wakishabikia....ray c amesema he (ruge) will always be mine na zama anajidanganya tu, Zamaradi amesema you are my everything, na mama jordan kasema wana miaka 9 na anamshukuru Mungu kwa kimuumba ruge
sasa hapo nani mmiliki halali wa mali mana kila mtu na lake mh pana kazi kweli hapo ngoma nzito wanafight kwa ajili ya mchepuko mmoja
*****"" zao wangekuwa wanajielewa wasingepangishwa folen kisa ela, mm ufala huu ndio siufanyag kwa maisha yangu nikishaona dalili za kupangishwa folen najitoa mapema sana..
Ruge n muunin wa sarekal tatu kwa vitendo
Ruge n muunin wa sarekal tatu kwa vitendo