Tumemaliza shighuli ya KTMA sasa ni MTV na zike za nigeria. Kiba asubir mwakani tena maswala ya tuzo
Yess tunasubiri za mwakani ila tukipata msitoke mapovu.
Bella na barnabas. Ambazo nafasi zote kutokana tu na matimu yasiyo na maana na ushabik ambao umeingia mpaka kwa waandaaji zimeenda kwa Kiba. Ni ujinga mkubwa.
Hata kama mlivote, it makes no sense. Na wala msidhani na msitarajie breackthrough toka kwa Kiba. Hata uprove ushndi huu kwa dunia.
Mtumbuizaji bora wa kike - Vannesa mdee, muimbaji bora wa kike - Vannesa mdee... bado vanesa hajafikia kiwango cha kuwa bora kuliko lady jaydee, japokuwa changamoto ni muhimu lakini hapana aiseeh, jide is the best
Siwez quote akil ndogo km hii we binti, jiheshimu basi.
Bella na barnabas. Ambazo nafasi zote kutokana tu na matimu yasiyo na maana na ushabik ambao umeingia mpaka kwa waandaaji zimeenda kwa Kiba. Ni ujinga mkubwa.
Hata kama mlivote, it makes no sense. Na wala msidhani na msitarajie breackthrough toka kwa Kiba. Hata uprove ushndi huu kwa dunia.
Akili ako haitoshi kujibishana na akili yangu, una akil ndogo sana mkuu, sorry for that.
Kwaicho icho kitorondo adi MTV. Utanzania kwanza jamani lext vote
hhhahaaaa i know very well angeogea mwingine ningeput into consideration but uuu
put into trash...
i don give a damn about what ur saying coz una chuki mbaya sana ..!
Kiba love you miaka 900000000000
Cjawahi kumchukia alikiba, nmchukie ili inisaidie nin kwenye maisha yangu???
Nasikilza mzk wake toka diamond hajatoka, ila diamond ka'fight mpk katoka kimataifa, yey still yupo palepale, namm co mnafik, I support the best..
Mstar wa mwsho umeandika nn, au ndo najibishana na viroba apa
Siwezi vote kitorondo bhana nitakuwa naunguza ramani ya nchi
Mapovu yatoke wapi. Kiroho safi tu
Kiroho safi wapi si tunampigia kura davido
Kiroho safi wapi si tunampigia kura davido