Yaliyojiri kwenye Kilimanjaro Tanzania Music Awards (KTMA) 13 June 2015


hhhahaaaa i know very well angeogea mwingine ningeput into consideration but uuu
put into trash...
i don give a damn about what ur saying coz una chuki mbaya sana ..!
 
Ukilala lala salama kumbatia tuzo zangu
kama ukinikumbuka sana njoo nipigie kura yako

Najua wivu chanzo chake ni tuzo ila chunga usizidi

si unajua kiba simuwezi ila ushabiki umebidi

mi nilitamani sana zile tuzo tano ila tatizo mwana

kilichofanya nipagawe kiba kazibeba sana

niliupokea kwa unyonge msiba wa mlimani city

zile tuzo za mwaka jana nimezikosa jama

msije kunileft mashabiki wangu mkazani nimekumbwa na pepo la starehe

kumbe mambo magumu kwangu afadhali ya mwaka jana ya kesho mnipigie kura

Ukilala lala salama kumbatia tuzo zangu
kama ukinikumbuka sana njoo nipigie kura yako

Ile kua uone nilidhani maghorofa
kumbe mwana akome amekomba zote tano

#teamdomo
 
Mtumbuizaji bora wa kike - Vannesa mdee, muimbaji bora wa kike - Vannesa mdee... bado vanesa hajafikia kiwango cha kuwa bora kuliko lady jaydee, japokuwa changamoto ni muhimu lakini hapana aiseeh, jide is the best

Vanesa deserves it. 100 percent.
 

Mbona unamtabiria mabaya kiba?? Hutaki atoboe kwa nini? Sisi tumevote kwa wimbo aliokwishautoa, atoe nyimbo nyingine asitoe hiyo ni juu yake, ila sisi tunamshukuru kwa wimbo wa mwana. Na tumempa ushindi
 
Akili ako haitoshi kujibishana na akili yangu, una akil ndogo sana mkuu, sorry for that.

siku zote mjinga hujiona mwerevu na huenda mbele na kuvimba kichwa kama wewe ulivyofanya hapa. yaan unajisifu kwa pumba ulizoandika! unajielewa wewe?
 
hhhahaaaa i know very well angeogea mwingine ningeput into consideration but uuu
put into trash...
i don give a damn about what ur saying coz una chuki mbaya sana ..!

Sawa....,., time will tell.
 
Kiba 4 real, kiba 4 music, kiba 4 Tz, najua hata uchaguzi mkuu itakuwa hivi hivi mijitu inapiga kelele wakati hata kura haikupiga bt ukweli utabaki palepale Kiba kajishindia tuzo zake, team dii..mondiiii...mvimbe na mpasuke. Mbona mwaka jana alipochukua mondi hamkusema kuwa kapendelew leo inkuaje wivu kwa kiba kati kura zmepgwa, di mondi anaimbia wanawake zake bt kiba full song na ujumbe kwa raia, mtakoma na majungu.....kwenda zenuuuu....
 

Mondi sio msanii wa kwanza kutoka kimataifa, walianza kina ay na jaydee. Kiba katoa nyimbo hapa nyumbani tumeupenda tatizo ni nini kwa nini mnalazimisha makolabo na.wanigeria ili atoke?? Mondi kaamua kutoka kimataifa, good for him ila msimlazimishe kiba kutoka kwa mgongo wa davido
 
unanitaka Simtabirii mabaya Kiba, ila ni binadamu asiye na fadhila. He dont give back to his fans. Ni mvivu na mzembe, subiri uone, mmeshakuja na slogans zenu za 'bringback kiba'. Mtalia na mtajutia sana efforts mnazopoteza kwa mtu asiyejali.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…