Yaliyojiri kwenye Kilimanjaro Tanzania Music Awards (KTMA) 13 June 2015

data Wameshachukua tuzo ngoja tuone kama ataendelea. Kiba mpaka asukumwe
 
Last edited by a moderator:

Nigeria ndio kimataifa?
 
Hawajiamini wanaogopana kukutana ukumbini yaani ovyooo kabisa
Yaani nimekasirika wwe, halafu nimelive stream kameniuma kweli kabundle kangu,
Ssa sijui wameogopa hizo timu ushuzi zao kwamba wakitoka na tuzo chache itakuwa aibu,
Yaani Bongo, tupo nyuma kwenye kila kitu,
 
Huo ndo uchawi wenyewe wanigeria wanampigia Davido badala watanzania mumpigie mtanzania mwenzenu eti mnajifanya mnamkomoa

Jamani si mlidai huyu ni international??? Atapigiwa kura na nchi nyingi tu ikiwemo nigeria, acha na sisi tuonyeshe kwa sapoti kwa wanigeria waliotutoa kimataifa.
 

Una uwezo mdogo wa kufikiri.. Sorry.
 
Yaani nimekasirika wwe, halafu nimelive stream kameniuma kweli kabundle kangu,
Ssa sijui wameogopa hizo timu ushuzi zao kwamba wakitoka na tuzo chache itakuwa aibu,
Yaani Bongo, tupo nyuma kwenye kila kitu,

Kiba hayupo bongo


Anagonga collabo lake na mUSA mmoja hivi
 
Mashabiki ni kila kitu na wanahitaji kuheshimiwa bila ya mashabiki hata uimbe kama malaika hauwezi kufika popote na hakika wakikupandisha leo wanaweza kukushusha kesho kirahisi kama kugeuza chapati nimefurahi kua mashabiki wametoa somo zuri leo na wakae wakijua waliomfikisha Diamond hapo alipo ni hawa mashabiki wa ndani ni upuuzi wa timu ya Diamond kuona tunzo za nyumbani hazina maana eti ashakua wa kimataifa na huu ni mwanzo hakika kuna dalili na za nje akaishia kua nominated tu sasa ni muda wa yeye kua na heshima na apunguze uswahili uliopitiliza kuna sehemu dogo anakosea na leo kanyooshwa vizuri hawezi kuacha kuomba kura za KTMA kibwege alafu apewe na alivyo ----- zile za MAMA kaziombea kura anasahau wapiga kura ni hawa hawa wabongo nasubiri kusikia akitangaza kujitoa KTMA ili ajizike rasmi.
 
warumi jide hakustahli hata kuwa nominated this KTMA season,ni huruma tu. Hamna alichofanya.

Wake up!

Ni kweli, jide kwa mwaka huu na jana, hakuwa na nyimbo kali kihivyo kuzizidi YAHAYA na JOTO HASIRA, ila hiyo haimfanyi kupokonywa haki yake, labda tu walitaka kumchallenge kidogo kama ilivyokuwa kwa diamond, maana ni wazi kiba he is not that good kumzidi diamond, ila basi tu wameamua kumchallenge, jide na diamond hawanaga mpinzani kwa apa bongo period.
 
Last edited by a moderator:
Mtumbuizaji bora wa kike - Vannesa mdee, muimbaji bora wa kike - Vannesa mdee... bado vanesa hajafikia kiwango cha kuwa bora kuliko lady jaydee, japokuwa changamoto ni muhimu lakini hapana aiseeh, jide is the best
Duh wabongo tuna vichwa vigumu kha!!! Yaani mwaka 2014/15 unasema Jide ni bora zaidi ya Vanessa? Jide wa sasa hv c yule wa zamani hebu jaribuni kubadilika
 
Duh wabongo tuna vichwa vigumu kha!!! Yaani mwaka 2014/15 unasema Jide ni bora zaidi ya Vanessa? Jide wa sasa hv c yule wa zamani hebu jaribuni kubadilika

Ukweli siku zote haubadiliki, japokuwa unaweza kuupindisha tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…