Yaliyojiri kwenye Kilimanjaro Tanzania Music Awards (KTMA) 13 June 2015

Kwa utumbuizaji sawa, jide hayupo kihivyo, ila kwa ubora tu, jide hana mpinzani, vee hana ubora wa kihivyo kumizid jide

Unaongelea historia au specific kwa mwaka 2014...??

Kama Ni fact kwa mwaka 2014 jide hakustahili hata kuwa nominee wa KTMA na vanesaa deserves alichopata.... Ni bonge la perfomer na ana uwezo wa kuimba vizuri...

Kama ni Historia hakuna mpaka sasa wakumatch na Pedigree ya commando jide
 
Ukweli siku zote haubadiliki, japokuwa unaweza kuupindisha tu

Na ukweli ni kwamba kama kiba kashinda kwa kura, hakuna msanii wa kike anayaweza kupambana na Jay dee zikipigwa kura hapa bongo. Sijajua vanessa ni kura au majaji waliamua. Kuna kitu hakipo sawa hizi tuzo.
 
Na ukweli ni kwamba kama kiba kashinda kwa kura, hakuna msanii wa kike anayaweza kupambana na Jay dee zikipigwa kura hapa bongo. Sijajua vanessa ni kura au majaji waliamua. Kuna kitu hakipo sawa hizi tuzo.

Jide hakuomba kura !! Nani ampigie?

Na yeye komando ana dharau zake japo anajua mpaka anakera
 
Eti kibao kimegeuka?? Team wema wakisema yes hu ar u to negate?? Bado mtv kura kwa davido na wizoo kid....mpaka heshima irudi
 

Attachments

  • 1434241286062.jpg
    24.6 KB · Views: 491
Eti kibao kimegeuka?? Team wema wakisema yes hu ar u to negate?? Bado mtv kura kwa davido na wizoo kid....mpaka heshima irudi

Mimi naona kama ujinga tu wanigeria wanasapotiana hata kama hawampendi Dai siyo kiihivyo hizi team ni za kijinga kweli
 
Jamani aombacho mtu ndicho atakachopewa.Kuna watu walizikejeli hizi tuzo za kilocal ila aliyekuwa anazihitaji kwakuwa ni muhimu kwake....akapewa kura na tuzo akapata! Sasa shida iko wapi?!Cha msingi nendeni mkapige kura kule MAMA lasivyo na kwenyewe itakuwa shida maana haohao wanaowapigia locally ndio haohao wataowapigia internationally!
 


Kumchallenge ndio upuuzi gani?

acha undorobo wewe...mpe hongera zake Kiba.
 
sion ni kwanini Ali Kiba kachukua tuzo zote hizo ilihali vyote alivyoimba havieleweki,muda mwingine haya mambo yanafanywa kimkakati na washenzi fulani ili tu kumharibia fulani.Kwa mtindo huu tunaharibu muziki wa Tanzania.Kizuri ni kizuri tu hata ukipake matope.
 
Duh le mutuz ulisema

haya kushinda kwa come back na mwimbo mmoja tuone basi atakazotoa maana na huko usa kumedoda pesa ya video ya cheketua haiji alivyozani....

Usiku mwema


wasaniii masikini watabaki kuwa masikini kama hawafanyi kazi.

Una chuki za wazi
Kwa taarifa yako cheketua video tayari kitambo tu

Subiri ianze kupigwa

Note; andaa comment za kuiponda hyo video
 

Ulipiga kura?
 
MSANII wa filamu Faiza Ally ambaye amezaa na Mbunge wa Mbeya mjini, anafanya makusudi ili kupata tension kwa watu au?

Siku ile all white party alikuja na Shati tu, Leo kaona isiwe tabu akajitupia vazi hili


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…