Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wewe una uwezo kiduchu wa kuhimili mikikimikiki sorry ur so soft, run bebe ruuun
Kwa utumbuizaji sawa, jide hayupo kihivyo, ila kwa ubora tu, jide hana mpinzani, vee hana ubora wa kihivyo kumizid jide
Ukweli siku zote haubadiliki, japokuwa unaweza kuupindisha tu
Na ukweli ni kwamba kama kiba kashinda kwa kura, hakuna msanii wa kike anayaweza kupambana na Jay dee zikipigwa kura hapa bongo. Sijajua vanessa ni kura au majaji waliamua. Kuna kitu hakipo sawa hizi tuzo.
Eti kibao kimegeuka?? Team wema wakisema yes hu ar u to negate?? Bado mtv kura kwa davido na wizoo kid....mpaka heshima irudi
Ni kweli, jide kwa mwaka huu na jana, hakuwa na nyimbo kali kihivyo kuzizidi YAHAYA na JOTO HASIRA, ila hiyo haimfanyi kupokonywa haki yake, labda tu walitaka kumchallenge kidogo kama ilivyokuwa kwa diamond, maana ni wazi kiba he is not that good kumzidi diamond, ila basi tu wameamua kumchallenge, jide na diamond hawanaga mpinzani kwa apa bongo period.
sion ni kwanini Ali Kiba kachukua tuzo zote hizo ilihali vyote alivyoimba havieleweki,muda mwingine haya mambo yanafanywa kimkakati na washenzi fulani ili tu kumharibia fulani.Kwa mtindo huu tunaharibu muziki wa Tanzania.Kizuri ni kizuri tu hata ukipake matope.
Duh le mutuz ulisema
haya kushinda kwa come back na mwimbo mmoja tuone basi atakazotoa maana na huko usa kumedoda pesa ya video ya cheketua haiji alivyozani....
Usiku mwema
wasaniii masikini watabaki kuwa masikini kama hawafanyi kazi.
sion ni kwanini Ali Kiba kachukua tuzo zote hizo ilihali vyote alivyoimba havieleweki,muda mwingine haya mambo yanafanywa kimkakati na washenzi fulani ili tu kumharibia fulani.Kwa mtindo huu tunaharibu muziki wa Tanzania.Kizuri ni kizuri tu hata ukipake matope.