Diva Beyonce last year tulijitoa kizalendo tukasema tumtoe mshikaji alivipata zile tuzo akatuona mbulula mara kwenye tuzo za watu anaziita tuzo za vichochoroni kama anaita nchi yake uchochoro kwanini na sababu gani nimpigie kura wakati mimi naishi kixhochoroni?
Jamani, ifike sehemu hata kama ni utajiri jua pesa tunatoa sisi unapolipwa milioni 20 ni kwasababu public tumekukubali sasa ukixhezea bublic itakupeleka chini na hutakaa uamke sasa tunaendelea mbona tutaheshimiana tu kama tuliweza kukuweka hapo why tushindwe kukushusha????
Jamani, ifike sehemu hata kama ni utajiri jua pesa tunatoa sisi unapolipwa milioni 20 ni kwasababu public tumekukubali sasa ukixhezea bublic itakupeleka chini na hutakaa uamke sasa tunaendelea mbona tutaheshimiana tu kama tuliweza kukuweka hapo why tushindwe kukushusha????
Last edited by a moderator: