Inasikitisha sana Mkuu. Hapo kwenye rangi nami ndipo panaponikosesha raha sana, kosa lake ni lipi hasa mpaka watu wamchukie kiasi hiki!?
Poor you maskini wetu yupi eti huruma my foot. We we ni tajiri mana argument zako tu zinaonyesha we we ndo maskini wa kiroho hadi kimwili. Heri yenu na domo ni matajiri eeeh
Usichokijua ni kama usiku wa giza.bado ukweli hujajulikana wa yaliyosemwa mtoto wa kike unatapatapa! So ukimpigia davido anaewakilisha nigeria na kumwangusha chibu unapata faida gani kama mtanzania?
Kenya my mama land
Nawasuport sautSOL
Sina chuki na dai wako
Tatizo ni jinsi diehards fans wake wanavyotumia mpka matusi kisa kura
Je nitajisikiaje nimempigia diamond kura lakini akishinda watu wanaleta uteam na kunitukana kisa c mpnzi Wa mziki wake
Narudia Mimi sio mzalendo na kura sipigi
Kwanza nakupongeza kwa kudeclare your nationality
Acha na diehard fans wa dai focus kwa msanii mwenyewe coz ushabiki kokote kule huongoza na mihemko na hisia tu.
Kama wewe si mzalendo hili ni tatizo pia.
Yaani hapo ndo ule msemo wa Tanzania vichwa vya wendawazimu naanza kuukubali yaani mtanzania anamwona davido anathamani kubww kuliko mtanzania mwenzake na mwisho wa yote huyo anatunyea sisi na wasanii wetu kwa kauli za dharau hahahahah hiii nchi tabu tupu
Watu wengi wenye chuki dhidi ya Diamond, ni wale aliowaacha kwenye rags when he moved to riches, now they can't deal seeing one of their own making progress while they're still stuck in there.
Achana naye, kwanza hata shule hakwenda. Usiwe kama yeye
Mkuu kuna siku Diamond alipata tuzo akarudi kuwatukana watu wapi hiyo?Kwan ukimpigia kura Diamond unapata faida gan kama Mtz zaidi ya stress za matusi tu akishinda??
inaonekana we mkuu msomi embu nipe evidence ya hata link ili nijisomee matusi ya Dai nisije nikawa napiga kura halafu baadae nikaja kutukanwa.Team Diamond kwa hoja mnazotoa nnapata mashaka na elimu zenu
Mode hapa kuna character assassination, amemtaja na kumtukana member. Tunasubiri hatua zenu ili kuleta nidhamu jamvini.
NAULIZA HIVI TENA KWA HERUFI KUBWAAA. KUNA MTU KAIBIWA TUNZO AU KUDHULUMIWA HADI LE MATAKOZ ANASEMA WATU WAANDAMANE BASATAAAAA??? NAULIZA TENA KWANI KUNA ALIYEIBAAAAAAAA TUNZO ZA SANKOROOOOO JANA.? HIZI TUNZO ZIMEENDA KWNYE MFUMO WAKE WA DIGITAL SO WW LEMUTUZ ULITAKA HIZI TUNZO ZIENDE KWNYE MFUMO WA ANALOGIA??? Bado sisi tunaendelea ku vote team davido hoyeeeeee.... team wiz hoyeeeee... team vannesa oyeeee.
Ruksa kupiga kura kwa yoyote ata jiwe ukitaka ila sio domo.
Chekecha chekechaaa chekechuaaaaaaa. Tupigeni kura jamani fanya ivii
BEST COLABORATION - DAVIDO FT UHURU.
BEST LIVE -FLAVOUR.
BEST FEMALE - VANESA MDEE.
BEST MALE - DAVIDO AU MWINGINE ILA USIHARIBU KURA YAKO KUMPA DOMO.
KARIBUNI