Mkuu kweli me nlipendelea awe mpoki
Duh sasa ommy dimpoz no pumzi
Kajukwaa kadogo kama choo cha uswazi
Waswahili mna matatizo
Ndio ameshakuwa sasa zima tv au toka ukumbini.
Haaaaa tusiojulikana tunaishia kuona kwa Tv.... Hahaaaa lol
Mkuu,alikiba tena mbona siyo wake .....kashirikishwa tu.
Ni Ruby huyo mkuu...
Kuimba live kwa wasanii wetu bado ni tatizo kumbe