Yaliyojiri kwenye Kilimanjaro Tanzania Music Awards (KTMA) 13 June 2015

Oyooooooooo, wallah nimevunja glass niliyokua nanywea juice.....
Wapi mtaa wa piliiiii?

Maumivu yameanza. Tayari ushindi tarajali haupo. Kitu kikisimamiwa na wenye akili weu haupo.
 
Zamu yetu inafuatiaaaa....najiandaa kurukaruka hapa...uwiiii!
 
Hapa ndo pagumu,Diamond na kiba ndani ya nyumba
 
Ila natamani Yamoto band wachukuwe tena,ila vanesa nae kaiimba vizuri
 
Wimbo bora Zouk.
Ntampata wapi Diamond!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…