Yaliyojiri kwenye Kilimanjaro Tanzania Music Awards (KTMA) 13 June 2015

Yaliyojiri kwenye Kilimanjaro Tanzania Music Awards (KTMA) 13 June 2015

Zamu yetu inafuatiaaaa....najiandaa kurukaruka hapa...uwiiii!
 
Ila natamani Yamoto band wachukuwe tena,ila vanesa nae kaiimba vizuri
 
Wimbo bora Zouk.
Ntampata wapi Diamond!
 
Back
Top Bottom