Yaliyojiri kwenye Kilimanjaro Tanzania Music Awards (KTMA) 13 June 2015

Oyooooooooooooooooo! Lalalalalaaaaaaaaaa kazi ipo leo.
 
:confused2::confused2::confused2:..... moja mojaaa!!!!!!

......

Mbona mpambano unaendeleaaa!!
 
kuna malalamiko hasa kuhusu kutaka kuupa wimbo wa isha mashauz wa MAPENZI HAYANA DHAMANA tuzo wimbo huu hauna maudhui wala ladha ya taarab tena ni rumba lakin nashangaa eti unawania uwe wimbo bora wa taarab
nashangaa sana wakat kuna nyimbo kibao ambazo zingestahili kuwa kwenye kinyanganyiro
huu ni upendeleo
 
Fetty kachoka leo sijui anaogopa kamera
 
Wimbo bora Afro pop
Alikiba Mwana
 
Kwanini Zembwela kasema tutaona tofauti hapa?
Haya bwana....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…