Nacheki kupitia Itv katika Dstv ni poor kabisa yani inakata kata mpk nahisi aibu wameenda kufanya nn Dstv km mambo yenyewe ni hiviii....----- yuu!!!
Pamoja na inflation hii?...:glasses-nerdy::glasses-nerdy:
FETY na ZEMBWELA no chemistry, sijui kwavile mmoja EATV/EA Radio na mwingine CLOUDS FM?
Nacheki kupitia Itv katika Dstv ni poor kabisa yani inakata kata mpk nahisi aibu wameenda kufanya nn Dstv km mambo yenyewe ni hiviii....----- yuu!!!
Huyo demu ni laana
Tuzo hizi za mwaka huu zina umwa Ebola.
leo ndo tumemjua fet halisi, kumbe visuruali huwa vinamsitili
FETY na ZEMBWELA no chemistry, sijui kwavile mmoja EATV/EA Radio na mwingine CLOUDS FM?
naomba aitwe ampe mtu tuzo
Kuna jamaa kanikashifu sana hapa niliposema kua napenda kuangalia kupitia clouds tv.
Hiyo ndio sababu inayonifanya nisipende kuangalia kupitia ITV.