Yaliyojiri kwenye Kilimanjaro Tanzania Music Awards (KTMA) 13 June 2015

Yule mzazi mwenzake na sugu ni mpumbavu sana...huyo ndo anatakiwa afunguliwe mashtaka yakudhalilisha utu...yaan kuachwa kumempa stress sana
 
Man Walter achukue tuzoooo bwanaaaaa.
Heheheheee hiki kipengele ni balaa nacho.
 
Haya kajala nae huyooo
 
Huyu alietoa hii tuzo nae mmmmmh hiyo gauni si bora losingekuwa gauni. Yaani mtu na akili zake atanunuaje nguo imepasuka vile tena kwa hela nyingi
 
Jamani Kajala kapendezaaaaaa balaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…