Yaliyojiri kwenye Kilimanjaro Tanzania Music Awards (KTMA) 13 June 2015

Martin Kadinda kubeba mabegi ya Wema eti naye kashakuwa star
 
Joseee Maraaa mtoto wa Kimaraaa.
Hongera sana.
 
Fetty angepewa Adam angeweza.
Au hapo kwa Zembelwa angewekwa Mpoki au Joti au Masanja
 
Sasa huyu kadinda naye vipi hiyo ya mwaka jana ilikuwa ipi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…