BansenBurner
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,810
- 5,773
Shangaa na wewe
Mbona anafanana na the late Omari Kopa mkuu?
Hyu mbwa xtian bella anajua sana kuimba,baada ya barnaba anafata yeye hzo timu zenu tupa kule.!!
Mbona anafanana na the late Omari Kopa mkuu?
Hata mie imeniuma sanaaaaaa aiseeeee
Christian anaimba kwa masikitiko kishenzi..
Jamaa wamemnyima tuzo wakati wimbo ulikuwa katika standard kubwa sana..
Well, 'ni matatizo ya dunia'....:becky::becky:
Hahahahaaa, wewe endelea kulia lia tu, mwenzio nagonga glass ya 6 ya juice.
Vipi wewe una malimao mangapi uliyokwisha kuyala?
. Bella kaz nzurChristian Bella anaimba vizuri sana
Christian anaimba kwa masikitiko kishenzi..
Jamaa wamemnyima tuzo wakati wimbo ulikuwa katika standard kubwa sana..
Well, 'ni matatizo ya dunia'....:becky::becky:
Duuh mbwa??? HayaHyu mbwa xtian bella anajua sana kuimba,baada ya barnaba anafata yeye hzo timu zenu tupa kule.!!
Sana tu. Hapo sauti inatoka bila mixing
King of the best melodies