Yaliyojiri kwenye Kilimanjaro Tanzania Music Awards (KTMA) 13 June 2015


Watanzania wengi ni kama makondoo mkuu.. Wakiambiwa pita hivi wote wanapita humo humo
 
Joh makini anashindaje hizi Tuzo??!!?

Huyo Joh Makini ni kwasababu ya 2.
1.Meneja wa TBL ni Mchagga,2.Arusha inaonekana wana kunywa sana Bia.3.ni Rafiki yake hakuna ambae hajui Hilo,Huyo JOH Makini jamani??????zero kabisa!
Anyway wao ndo wameandaa na wana influence nani ashinde Kaka!
Ndo Maana tuzo zimepoa sanaaaa
 
Hivi malaika music band sio band?hata category moja inayowahusu ??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…