ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Kwendraaaa, kwanza umesema unaondoka nashangaa...
Mziki wa Tanzania kufika mbali labda mtu mmoja mmoja ila kama nch ni ngumu sana.
Diamond keshaona anaonewa na alijua kitachotokea leo.
Kiba na timu yake watafurahi ila hawatafika mbali.
Barnaba anajua tunga nyimbo, Bella pia ila ndo ushabiki. Yaani watanzania wameingiza siasa hadi huku
Ila tuache utani wema kapendeza sana
Hivi Fid Q amewakosea nini hawa kenge.
Joh Makini lazima achukue hii tuzo nyingine
I salute you madameeeee.
fid q? nat fair
Joh makini anashindaje hizi Tuzo??!!?
Joh makini anashindaje hizi Tuzo??!!?
kura hazikutosha
Mussolin umenielewa ila weye ndugu yangu umerukia maji... tulia.usikurupuke hujui maana vunga, hatujamaanisha ulichokifkr mkuu, jifunzee kukaa kimya