Nifah JF-Expert Member Joined Feb 12, 2014 Posts 34,020 Reaction score 79,098 Jun 14, 2015 Thread starter #1,321 Sasa apewe Fid Q apozwe tu jamani.Ingawaje nahisi Joh atachukua tena....mhhhjh!
Pascal Ndege JF-Expert Member Joined Nov 24, 2012 Posts 2,977 Reaction score 1,897 Jun 14, 2015 #1,322 MwanaFA
suleym JF-Expert Member Joined Sep 21, 2010 Posts 1,961 Reaction score 1,209 Jun 14, 2015 #1,323 Nyingine hiyo Joh makini
Dejane JF-Expert Member Joined Jan 1, 2014 Posts 50,587 Reaction score 71,492 Jun 14, 2015 #1,324 nifah said: Nashangaa mijitu inalalamika.Si waunde yao ya wasiokua na team? Click to expand... shangaaa mbona kwenye mpira wana timu hatuwaingiiliii wakanye boga
nifah said: Nashangaa mijitu inalalamika.Si waunde yao ya wasiokua na team? Click to expand... shangaaa mbona kwenye mpira wana timu hatuwaingiiliii wakanye boga
Jaslaws JF-Expert Member Joined May 31, 2011 Posts 6,016 Reaction score 5,296 Jun 14, 2015 #1,325 Hivi hizo nyimbo za joh makin na weusi ni hiphop kweli.?? Hiphop is dead..!!
Down To Earth JF-Expert Member Joined Jul 8, 2011 Posts 21,940 Reaction score 16,643 Jun 14, 2015 #1,326 Ila Kiba ameleta changamoto sana katika hii category ambayo alikuwa na kigogo mwenzie Christian Bella. Au mwasemaje wadau Honey Faith, data na Angel Msoffe? Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Ila Kiba ameleta changamoto sana katika hii category ambayo alikuwa na kigogo mwenzie Christian Bella. Au mwasemaje wadau Honey Faith, data na Angel Msoffe?
M mkosafedha JF-Expert Member Joined May 19, 2015 Posts 1,330 Reaction score 277 Jun 14, 2015 #1,327 Mbunge wa mikumi kachukua
Camilo Cienfuegos JF-Expert Member Joined Apr 23, 2015 Posts 18,960 Reaction score 67,654 Jun 14, 2015 #1,328 Prof Jizooo
Dejane JF-Expert Member Joined Jan 1, 2014 Posts 50,587 Reaction score 71,492 Jun 14, 2015 #1,329 Woyooooooooo profess j ft daimond
HIMARS JF-Expert Member Joined Jan 23, 2012 Posts 70,791 Reaction score 98,334 Jun 14, 2015 #1,330 Diamond kasawazisha
SaaMbovu JF-Expert Member Joined Oct 8, 2013 Posts 6,027 Reaction score 5,344 Jun 14, 2015 #1,331 Haya sasa. Prof
Deo Corleone JF-Expert Member Joined Jun 29, 2011 Posts 17,006 Reaction score 13,281 Jun 14, 2015 #1,332 At least
data JF-Expert Member Joined Apr 9, 2011 Posts 26,858 Reaction score 23,768 Jun 14, 2015 #1,333 Rip fid q
Khantwe JF-Expert Member Joined Dec 20, 2012 Posts 59,415 Reaction score 119,473 Jun 14, 2015 #1,334 Nimefurahi prof kapata
Diva Beyonce JF-Expert Member Joined Mar 6, 2014 Posts 12,913 Reaction score 11,271 Jun 14, 2015 #1,335 Hongera profesa jay naukubali sana wimbo wako.
esc343 JF-Expert Member Joined Apr 17, 2014 Posts 354 Reaction score 581 Jun 14, 2015 #1,336 Away goal hiloooo
HIMARS JF-Expert Member Joined Jan 23, 2012 Posts 70,791 Reaction score 98,334 Jun 14, 2015 #1,337 Ila hapa kiukweli wamewaonea kin joh makini
Dejane JF-Expert Member Joined Jan 1, 2014 Posts 50,587 Reaction score 71,492 Jun 14, 2015 #1,338 nifah said: Sasa apewe Fid Q apozwe tu jamani.Ingawaje nahisi Joh atachukua tena....mhhhjh! Click to expand... le profesaaaaaaaa
nifah said: Sasa apewe Fid Q apozwe tu jamani.Ingawaje nahisi Joh atachukua tena....mhhhjh! Click to expand... le profesaaaaaaaa
b5-click JF-Expert Member Joined Mar 21, 2012 Posts 2,195 Reaction score 2,109 Jun 14, 2015 #1,339 Hahahahah.. Kweli hii bongo, Deo Corleone mwanalizombe mwenzetu huyo. Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Nifah JF-Expert Member Joined Feb 12, 2014 Posts 34,020 Reaction score 79,098 Jun 14, 2015 Thread starter #1,340 Transcend said: Pouwa mkuu, shemeji karudi nini? Click to expand... Mimi nimekuaga wewe uliyeaga, mimi nipo hadi mwisho mkuu... Inshaallah!
Transcend said: Pouwa mkuu, shemeji karudi nini? Click to expand... Mimi nimekuaga wewe uliyeaga, mimi nipo hadi mwisho mkuu... Inshaallah!