Fa Na Fid q tunabeba Leo kwenye upande wetu ule
Ha ha haaa, dah nimecheka sana.
Fanya makeke mama hii show sio ya kukosa!
safari hii hakuna live stream?maana huku mpiji shambani hakuna Tv
Hii avatar mbona cha mtoto sana tu,niambie leo utafurahi sana,nani akichukua tuzo?
Hahahahaaa! Nilikua nakusubiri kwa hamu...mimi niko na juice hapa na vidonge vya pressure!
Naziona mbili za Fid na moja ya Prof J.
Mama Africa, kama kawaida namuona anachomoka na mbili. Hapa achia mbali tano za Kiba, hapo tu roho yangu kwatu makombo tunawaachia wao..!!!
BACK TANGANYIKA
Kwakweli zitatuua! Kwani na wewe uhama ile team yako?
Sina habari atiii....
Mi sie timu kiba wala team diamond.. Nipo nipo tu.
But nina hamu mnoooo Kiba azizoe za kutosha ili tu Shati la vitz atokwe mapovu.. Cc. @niffah @W. J.Malecela