mikatabafeki
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 12,771
- 4,649
Nguo yake nzuri kapendeza ila hicho kikofia tu ndo hakijanifurahisha kabisa.
Jux ndo nani?
Mtamu haswa.
Tuzo zimepangwa hizi
4-3 ya wapi? Umekunywa gongo nini?
kumnyima barnaba ni upumbv
wema kafunikaa
Yule jamaa anayemtomb☆ vanessa
Kwa mara ya kwanza naungana na wewe...
Haya ngoja tuone mwisho wake bwana.