Hawa ITV mbona hawaoneshi kitu
Ni upuuzi kufikiri kiba atapata tuzo zaidi ya 2, ni uwehu kabisa.
Ama nini mazee? Umemaliza kila kitu.
Naona wana subiri ianze ndio waanze kuonesha...
Ni upuuzi kufikiri kiba atapata tuzo zaidi ya 2, ni uwehu kabisa.
Acha tu, naomba iwe hivyo naona watu wataandamana wakiongozwa na Le Mtumboz u know...
Ila umebadili avatar nikakusahau ujue?
Hawa jamaa wa Red carpet wa Clouds ni futuhi tupu..
Hata ITV pia wataonesha, nadhani kwao bado kidogo.
Heheheheeer haya bwana, naona unaanza kujivua lawama taratiiibu...
zikienda kwa Kibar nazima TV!
Ni upuuzi kufikiri kiba atapata tuzo zaidi ya 2, ni uwehu kabisa.