Yaliyojiri kwenye Kilimanjaro Tanzania Music Awards (KTMA) 13 June 2015

Yaliyojiri kwenye Kilimanjaro Tanzania Music Awards (KTMA) 13 June 2015

Hivi hii ya ngapi jamani maana hata nimesahau ya ngapi.....
Hii tulitegemea ila si mbaya kwa kupata 2
 
Tatizo kura

Natamani niwape taarifa jinsi

Fans Wa alikiba walivyokua wapo tayari kupora cmu kumpigia msanii wao
 
haya bana, tulitabiri lakini uhuni huu, wa MWANA.
 
Oyooooooooooooooooo! Am speechless kwakweli.
 
Diamond kanyimwa kwa sababu watu hawajui mziki vizuri. Wao ni timu tu....
Yaani wanakuwa kama mashabiki wa Arsenal hawachukui makombe ila kelele sana

Poleeee sana mkuu kubali tu yaisheee.
 
Back
Top Bottom