Yaliyojiri kwenye Kilimanjaro Tanzania Music Awards (KTMA) 13 June 2015

Yaliyojiri kwenye Kilimanjaro Tanzania Music Awards (KTMA) 13 June 2015

Duh le mutuz ulisema

haya kushinda kwa come back na mwimbo mmoja tuone basi atakazotoa maana na huko usa kumedoda pesa ya video ya cheketua haiji alivyozani....

Usiku mwema


wasaniii masikini watabaki kuwa masikini kama hawafanyi kazi.

Easy chifu...

Hivi mnafaidika nini na timu hizi za kipuuzi?...

Yaani unaumia na kukosa raha kwa sababu ya tuzo za Diamond na Ally Kiba!!...Wtf..

Huu ni ujuha uliopitiliza aisee...
 
Hizi tuzo zimepoteza maana kabisa!Kuna fitina za wazi kabisa na mipango ya kupendelea watu fulani.Kama huyu dogo Belle 9 ni bora wasiwe wanamuweka kabisa maana hawamtendei haki.
 
Leo Alikiba na Mzee Yusuph ndiyo wameshine.Diamond kaambulia angalau
 
Bora niangalie Copa America tu.
Hawa washaanza zingua sasa yaani KTMA yangu ya kwanza kuangalia nayo inazingua hivi.
Diamond usishiriki tena

Mi kila mwaka hufatilia. Mwaka Jana Diamond alishinda saba na watu walilalamika mno. Bora mwaka uu sasa sema tuzo haziwezi kuwafurahisha wote.
 
Dah sijaamini kama mwaka huu ingekuwa hivi. Najuta angalia hizi tuzo aisee
Bora ningelala nijue kesho
 
Back
Top Bottom