makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Hapa kwa Zembwela, pangemfaa Mpoki.
Mpoki adabu yake mkia wa kondoo...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa kwa Zembwela, pangemfaa Mpoki.
Bora nikalale zangu maana hawa wajinga wananipotezea Bando langu
miss Tz sijamuelewa ni kitambi au mimba,!
Hahahahaaa, kwani Domo hakuwa kwenye category? Kumbe unajua sio mtunzi bora eeh?
Hongera sauti Sol wimbo wenu ni best EAF nzima.
Le Big Show alishachafua hali ya hewa tangu jana kuwa majaji wa KTMA watatu kati ya 6 ni fans wa Kiba
na kwenye tv inakata hivyo hivyoo
Hahahahaaa, kwaheriiiii.
Le Big Show alishachafua hali ya hewa tangu jana kuwa majaji wa KTMA watatu kati ya 6 ni fans wa Kiba
Sio kwamba sio mtunzi bora ila wanazidiana uongo mbaya pale hata Kiba alikua hamkamati Barnaba
Kuna jamaa analeta bahasha anafanana na RONALDO DE LIMA balaa