Yaliyojiri kwenye Kilimanjaro Tanzania Music Awards (KTMA) 13 June 2015

Yaliyojiri kwenye Kilimanjaro Tanzania Music Awards (KTMA) 13 June 2015

Sura mbaya anajaribu kuvuta watu kwa kuonyesha body vitako vyenyewe ngumi
 
Time will tell.. Acha le tamkoz aendelee kuwajaza ujinga. Wakishaona wanashindwa ndio wanaponda tuzo.. Wakishinda aaa swafiii.

Tuzo za watu waliponda mnooo.. Oo BASATA wameruhusu tuzo za kushindanisha bila kutizama utaalamu na bla blaaaa nyingi tu.. Haya na hizi zenye sehemu za utaalamu je?

Waendelee na dharau, halafu watapigiwa kura huko international. Nyumbani ni nyumbani, awali ni awali hakuna awali mbovu, usiache mbachao kwa msala upitao.

Jaribu kuandika tenaa..ulichokiandika hakina msingi wowote...hebu njoo tena unaweza eleweka
 
Hata mwenda wazimu huwezi kumwaminisha kuwa wimbo wa " mwana" ulikuwa bora kuliko " nani kama mama?" wa Bella

Hata mjinga huwezi kumwaminisha kuwa Bella na alivyokuwa juu last year amekosa tuzo.

Hata mjinga huwezi kumwaminisha kuwa Yamotoband walivyokuwa juu na nyimbo kibao eti wa tuzo moja!!

Hata mjinga huwezi kumwaminisha kuwa mchezaji wa ligi ya mchangani ( alikiba)ni mchezaji bora kuliko mchezaji wa timu kubwa Afrika (diamond) ambaye afrika nzima inamuweka katika nominees za msaanii bora afrika nzima wakiwa watano pekee huku na yeye akiwemo

Eti mtu kama huyo..ambaye kila tuzo inayotolewa afrika iwe mtv mama,bet na zinginezo lazima wamweke kwenye kipengele cha msanii bora wa kiume afrika...etikwa nchi maandazi tanzania kuna kibaka ambaye hata dimpozi na sheta wanafahamika afrika kuliko yeye..eti ndo bora!! ovyoooooooo....


Na ka style hii ya vibovu kuonekana bora usishangae Lowasa ndo akawa raisi...kwa sababu hii nchi naona ovyoo tu na haina mbele wa nyuma!!


Ovyoooooooooo!!!!
 
Mashabiki ni kila kitu na wanahitaji kuheshimiwa bila ya mashabiki hata uimbe kama malaika hauwezi kufika popote na hakika wakikupandisha leo wanaweza kukushusha kesho kirahisi kama kugeuza chapati nimefurahi kua mashabiki wametoa somo zuri leo na wakae wakijua waliomfikisha Diamond hapo alipo ni hawa mashabiki wa ndani ni upuuzi wa timu ya Diamond kuona tunzo za nyumbani hazina maana eti ashakua wa kimataifa na huu ni mwanzo hakika kuna dalili na za nje akaishia kua nominated tu sasa ni muda wa yeye kua na heshima na apunguze uswahili uliopitiliza kuna sehemu dogo anakosea na leo kanyooshwa vizuri hawezi kuacha kuomba kura za KTMA kibwege alafu apewe na alivyo ----- zile za MAMA kaziombea kura anasahau wapiga kura ni hawa hawa wabongo nasubiri kusikia akitangaza kujitoa KTMA ili ajizike rasmi.

Katika mashabiki na ww ni shabiki et heshima nani akuheshim ww hata mwenyew hujiheshimu
 
Aliyekua mke wa Mbunge wa Mbeya Mh Sugu.....

Hivi uyu mrembo si ndio alikua akilalamika kua hajakazwa siku nyingi??Kwa style hii nadhani ile alidanganya tu ili kuwaamisha watu kua chini kumekaza ili wakapanunue, sasa alipoona hawaji kaamua kuweka makalio wazi zaidi ili kuwavuta.
 
leo akiamka siku yake nzuriii gazeti na radio tv ni yeye
 
Mimi niwe muwazi, sina shida na tuzo za Ali, ila KTMA kosa dogo walilolifanya ni kutoa tuzo ya mtumbuizaji bora kwa Ali. Watu wanaweza kuhisi kuwa Ali kabebwa lakini ukiangalia kwa mbali ni kama wamemhujumu Ali kwa kumpa tuzo hii.

Ni kupoteza sifa na ubora wa tuzo kwa kufanya maamuzi ambayo hata wewe mfanyaji unakosa ground. Anaweza akapandishwa kwa muda mfupi lakini umma unaweza ukachukia kwa muda mrefu.

Nilikaa Uganda kwa muda, nakumbuka kulikuwa na mchuano mkali kati ya Chameleon na Babe Cool, media zilimpandisha babecool kama jitihada za kumshusha Chameleon. Lakini tofauti na wenzetu, wao matumizi ya akili huweka mbele sana, walikataa baadhi ya mambo kama huu upuuzi uliofanywa hapa openly.
 
Back
Top Bottom